Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wadau,naomba kuulza,hvi hawa wasichana ambao tumezoea kuwaona kwenye shooting za wasanii mbalimbali wakikata mauno,huwa wanaolewa kweli?
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Unakumbuka siku ulipoulizwa; Ewe. . . .,unakubali kumpokea . . . . .,awe mumeo/mkeo,katika shida na raha,magonjwa na afya na utamhesimu siku zote za uhai wako mpaka kifo kiwatenganishe?Kisha...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Kuna kipindi nilikuwa nikifanyakazi kwenye operesheni ya wakimbizi huko Magharibi ya Tanzania. Kutokana na wimbi la Wakimbizi, kulikuwa na silaha nyingi sana zimezagaa na hivyo majambazi...
0 Reactions
66 Replies
5K Views
Nilikuwa na mjadala na rafiki yangu mmoja na mada husika ilikuwa inajadiliwa. Kwamba, ati mwanamke akiugua labda kwa mrefu kidogo mwanamme hawezi kutulia sana huamua kutafuta kidumu au mahali pa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Inasemekana kwamba kunywa majivu yaliyokorogwa kwenye maji baada ya tendo huzuia mimba kutungwa? (kwa wenye utaalam wa kibaolojia tafadhali.)
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Inasemekana mtori una husika sana katika kutengeneza afya yako na kukuwezesha kumudu vyema maisha ya "ndoa". Nime jifunza kuutengeneza,ningependa ujue pia na ujaribu mara moja moja...
3 Reactions
45 Replies
13K Views
hi wananchi wenzangu mnaona kuna umuhimu wa jeshi la polisi kuendelea kuwepo nchini? kwa upande wangu sioni haja ya kuwepo kama badala ya kuwalinda wananchi ndo linaongoza kuuwa raia wasiokuwa na...
0 Reactions
3 Replies
919 Views
Nice wkend
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Too Good not to share … Best excuse by a female employee! This incident, happened in real life. The head of Human Resources at a very large bank, says that the best excuse for absenteeism, that...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna mwanamke jirani yangu kwa kweli amenisikitisha sana. Watoto wake na wangu ni marafiki sana na wanasoma shule moja. Mume wa huyo mama yuko mkoani kikazi na mama nae ni mfanyakazi ktk ofisi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna Kipindi cha Clouds sasa hivi kinaendelea.Mada ni Mume wa mtu au girlfriend wa mume wa mtu ni mtamu! Loveness Love - the Diva anafagilia sana na kusifia... ati maboyfriend ni wachafu wananuka...
4 Reactions
144 Replies
24K Views
Mama 1 huko TABORA ametiwa nguvuni kwa kosa la kuiba mtoto wa mwezi1 ili akamlidhishe mumewe kwamba alikua mjamzito sasa amejifungua,familia ya mama huyo mwizi na mumewe walikua na ugomvi wa muda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hvi jaman kipi bora kwny ndoa kati ya kukaa na mtoto alyezaa nje mumeo au mtoto akakae kwa mama ake thn mumeo akapeleka huduma?
1 Reactions
11 Replies
2K Views
LISTEN TO 'KIATU KIVUE' Artist: Anastazia Mukabwa & Rose Muhando Song: Kiatu Kivue Language: Kiswahili Mungu alinena naye Musa hicho kiatu kivue Mungu alinena naye Musa hicho kiatu kivue...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bishanga nikichezea kichapo toka kwa mama Kayaii nikaja kulalamika hapa mmu mnanicheka,jamani zis is a serious problem,hebu someni hii toka front page ya 'daily news' ya leo: Kenyan men urged to...
2 Reactions
52 Replies
3K Views
Wana Jf, kuna usemi wa kingereza unaosomeka:- always women give sex to get love while men give love to get sex. Je kuna ukweli wowote. Kwa mawazo yangu naona wanawake kutokana na usemi huo ndio...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ni vipi mapenzi sio pombe, lakini yanalewesha? Sio kidonda lakini yanatonesha? Sio maradhi lakini yanauwa? Sio harusi lakini yanafurahisha? Sio fimbo lakini yanaumiza? Jee waungwana mapenzi nini?
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Mwanamama mmoja nchini Marekani anayefanya kazi mochuari ameingia matatani baada ya kupata uja uzito kwa kujamiiana na mtu aliyekufa. Mtandao wa habari wa dead serious news umesema tukio hilo...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
NDOA bana ajabu kweli. Ndoa ni kama shule,mara nyingi kabla ya kuingia kwenye ndoa sio rahisi kumfahamu mwenzako kwa kila kitu,hasa tabia zake zote. Kwa kua ndoa ni kama shule,tunategemea...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
WANAUME nchini KENYA leo wanaanza mgomo wa siku sita wa KUTO KULA NYUMBANI kupinga vitendo vya KUPIGWA na wake zao. Huh,hivi hawa ni wanaume kweli au mashoga? Au ndo wale wanao tunzwa na...
0 Reactions
87 Replies
8K Views
Back
Top Bottom