Unakumbuka siku ulipoulizwa; Ewe. . . .,unakubali kumpokea . . . . .,awe mumeo/mkeo,katika shida na raha,magonjwa na afya na utamhesimu siku zote za uhai wako mpaka kifo kiwatenganishe?Kisha...
Kuna kipindi nilikuwa nikifanyakazi kwenye operesheni ya wakimbizi huko Magharibi ya Tanzania. Kutokana na wimbi la Wakimbizi, kulikuwa na silaha nyingi sana zimezagaa na hivyo majambazi...
Nilikuwa na mjadala na rafiki yangu mmoja na mada husika ilikuwa inajadiliwa. Kwamba, ati mwanamke akiugua labda kwa mrefu kidogo mwanamme hawezi kutulia sana huamua kutafuta kidumu au mahali pa...
Inasemekana mtori una husika sana katika kutengeneza
afya yako na kukuwezesha kumudu vyema maisha ya "ndoa".
Nime jifunza kuutengeneza,ningependa ujue pia na ujaribu mara moja moja...
hi wananchi wenzangu mnaona kuna umuhimu wa jeshi la polisi kuendelea kuwepo nchini?
kwa upande wangu sioni haja ya kuwepo kama badala ya kuwalinda wananchi ndo linaongoza kuuwa raia wasiokuwa na...
Too Good not to share
Best excuse by a female employee!
This incident, happened in real life.
The head of Human Resources at a very large bank, says that the best
excuse for absenteeism, that...
Kuna mwanamke jirani yangu kwa kweli amenisikitisha sana. Watoto wake na wangu ni marafiki sana na wanasoma shule moja. Mume wa huyo mama yuko mkoani kikazi na mama nae ni mfanyakazi ktk ofisi...
Kuna Kipindi cha Clouds sasa hivi kinaendelea.Mada ni Mume wa mtu au girlfriend wa mume wa mtu ni mtamu!
Loveness Love - the Diva anafagilia sana na kusifia... ati maboyfriend ni wachafu wananuka...
Mama 1 huko TABORA ametiwa nguvuni kwa kosa la kuiba mtoto wa mwezi1 ili akamlidhishe mumewe kwamba alikua mjamzito sasa amejifungua,familia ya mama huyo mwizi na mumewe walikua na ugomvi wa muda...
LISTEN TO 'KIATU KIVUE' Artist: Anastazia Mukabwa & Rose Muhando
Song: Kiatu Kivue
Language: Kiswahili
Mungu alinena naye Musa hicho kiatu kivue
Mungu alinena naye Musa hicho kiatu kivue...
Bishanga nikichezea kichapo toka kwa mama Kayaii nikaja kulalamika hapa mmu mnanicheka,jamani zis is a serious problem,hebu someni hii toka front page ya 'daily news' ya leo:
Kenyan men urged to...
Wana Jf, kuna usemi wa kingereza unaosomeka:- always women give sex to get love while men give love to get sex. Je kuna ukweli wowote. Kwa mawazo yangu naona wanawake kutokana na usemi huo ndio...
Ni vipi mapenzi sio pombe, lakini yanalewesha? Sio kidonda lakini yanatonesha? Sio maradhi lakini yanauwa? Sio harusi lakini yanafurahisha? Sio fimbo lakini yanaumiza? Jee waungwana mapenzi nini?
Mwanamama mmoja nchini Marekani anayefanya kazi mochuari ameingia matatani baada ya kupata uja uzito kwa kujamiiana na mtu aliyekufa. Mtandao wa habari wa dead serious news umesema tukio hilo...
NDOA bana ajabu kweli.
Ndoa ni kama shule,mara nyingi kabla ya kuingia kwenye ndoa sio rahisi
kumfahamu mwenzako kwa kila kitu,hasa tabia zake zote.
Kwa kua ndoa ni kama shule,tunategemea...
WANAUME nchini KENYA leo wanaanza mgomo wa siku sita wa KUTO KULA NYUMBANI kupinga vitendo vya KUPIGWA na wake zao.
Huh,hivi hawa ni wanaume kweli au mashoga?
Au ndo wale wanao tunzwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.