Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani mie kla mpenzi huwanagombana nae hdi 2naachana, nn nifanye ili niendelee kumaintain love
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wengi tunapo fanya mambo yetu yale na watu ambao hatu waamini huwa tunatumia PSI. Lakini huku tukiwa tunakula lita za fluid. Ina maana hizo PSI tunavaa kwa mazoea au?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Eti wadau,kwa wale ambao mlikua na ma galfrds/boyfrds wakati mko vyuo vikuu,ivi baada ya kumaliza vyuo then kila mtu akawa mkoan kwao maisha yalikuaje,maana najua wengne hata ile jero ya kununua...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli
4 Reactions
173 Replies
10K Views
Nipo stand isiyo rasmi ya basi.Ni kijijini. Natoka Tanganyika kuelekea Tanzania.Punde anasogea binti mdogo, kati ya umri wa darasa la saba na kidato cha kwanza. Nikiwa kijijini, sikujali kukata...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Jaman mimi nampenz wangu tunapendana sana tunazaidi ya mwaka na tumepanga kuoana lakin tatizo ni mamamkwe aliona sms zangu kwa mwanae sasa ni mlokole hanitak mimi ni muislamu lakn niko tayar...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Katika kufuatilia kwangu naona wanawake wanacheat sana kuliko wanaume sema watu wengi wanajua kama wanaume ndio wanacheat sana,,haionekani kama wanawake ndio wanacheat sana kwa sababu wanawake ni...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Swala la kupenda ni jambo muhimu sana katika maisha ya binadamu na ni mojawapo kati ya mahitaji muhimu sana ya kijamii kwa mwanadamu. Kila mtu anahaki ya kupenda na kupenda. Kwa upande wa upendo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Now I see What love means.
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wanajamii wenzangu ninatatizo linaniumiza kichwa nilikuwa na demu wng 2liishi nae muda ikafikia akaanza kubadilika nikaona nimteme sasa yapita miaka 2 nashangaa siku hizi ananilazimisha...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
daah perhaps labda though his altitude toward you.
0 Reactions
29 Replies
2K Views
wana jf kosa gani linaweza kukusababisha usimsamehe mpenzi wako kwaupande wangu mimi aki cheza mpira nje ndio sitoweza kumsamehe hata siku moja
1 Reactions
88 Replies
9K Views
Nategemea kufunga pingu za maisha na mwanadada mrembo wa humu ndani, kama familia moja ni vema mkaonyesha support yenu hasa katika michango ya harusi hii.. jina la bibi harusi ntalitaja hapo...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
When wife / husband gets one child will be called a PARENT, but when gets two children will be called REFEREE and when gets three or more children will be called SPECTATOR. Jadili kama kuna...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Zaman kabla mpenzi wangu bado kujiunga jf nilikuwa huru natoa masiri hata ya chumbani kwa niaba ya kutafuta solution humu jf.Na huwa anashangaa mimi kuwa bize na jf haswa jukwaa hili MMU juzi juzi...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Baada ya kusoma thread nyingi hapa MMU nimegundua kwamba linapotendeka kosa kwenye mahusiano watu wengi wanaelekeza lawama kwa mhusika na kusahau mazingira. Ghafla jana baada ya kukosa usingizi...
5 Reactions
222 Replies
12K Views
‘I wanna marry my son’ Sunday August 17, 2008 00:49 - (SA) A Zimbabwean woman and her son have done the unthinkable – they have fallen in love with one another. And now they want to marry...
0 Reactions
209 Replies
20K Views
Ni mazingira gani, au ni umri gani mwanaume anafikia hatua anaamua kutokuoa kabisa. Nalizimishwa kuoa na ndugu, jamaa na marafiki, (sijui nimuoe nani sasa) eti umri nilionao (32) ndo wa kufanya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu. Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life
1 Reactions
207 Replies
14K Views
jamani wana jf tuwe wastaarabu kwa kujali muda. mapenzi yawe na muda wake na kazi zipewe muda wake. kuna tukio moja lili tokea katika wilaya ya kahama tar 13 februar ambapo mhandisi wa halmashauri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom