Halow jamii forums members,
Nina mchumba wangu ambaye kiukweli namfeel sana,ila tumekuwa tukipishana sana kwenye suala zima la starehe particularly clubing...anapenda sana kwenda club every...
.... yani mtoto wa dada yangu ye ananiita mimi "mjomba" na mi namwita yeye "mpwa wangu", sasa ngoma inayokuja kuntatiza ni pale mtoto wangu anapomwita dada yangu "shangazi", kwa hiyo dadangu nae...
mimi nilimaliza chuo mlimani telecommunications engineering 2008 wakati namaliza yupo binti ambae nilkuwa ndo naanza uhusiano nae siku ya kwanza tunafanya majambozi aliniambia yuko kwenye gud...
What do you do when love hurts so badly? you have been waiting for years, been faithful, caring, supportive and most of all loving,.but only to find out that you have wasted so many years...
Tatizo la kina mama kutoelewana na mama wakwe zao ni tatizo sugu sana duniani. Hata siku moja hawawezi kuishi vizuri pamoja chini ya dari moja. Je kuna mtu ameshuhudia hawa watu wawili wakiishi...
Ilikuwa ni mwanzoni mwa miaka ya 2000, kipindi hicho nilikuwa napiga maji kwa kwenda mbele kabla Yesu hajanitokea na kunionya kwamba nisipoacha hiyo dhambi atanitandika bakora hadharani. Mkwala...
Inaelezwa kwamba kuna uhusiano kati ya wanawake waliofanikiwa kwenye ajira kwa kuwa na kipato kikubwa zaidi ya waume zao na talaka. Labda nisema tu kwamba, binafsi sikubaliani na jambo hilo...
Imebainika kiutafiti kwamba wanawake wanne kati ya kumi huwa wanatoka nje kwenye ndoa zao. Idadi hiyo hata hivyo inaongezeka haraka sana, na inawezekana idadi hiyo ikafikia wanawake watano kati ya...
Jamani hiki ni kisa cha kweli kimetokea masaa 48 yalopita. Ishu yenyewe iko hivi:-
Nilikuwa naishi kwenye nyumba pamoja na mpangaji mwenzangu huko mkoani manyara wilaya ya kiteto. Kwa bahati...
Nipo kikazi katika mkoa mmojawapo kaskazini ya Tanzania, kwakuwa nyumba niliyopewa kuishi ni kubwa, imenibidi nitafute msaidizi wa kazi za nyumbani.
Nimepata msichana ana wiki ya 2 sasa tangu...
Ilianza kama utani. Mashosti wawili waliokuwa marafiki wa karibu tena walioshibana na kushibana. Walikuwa na urafiki wa kushinda pamoja, kwenda kununua nguo pamoja, na kwa kweli ulikuwa ni kama...
Mimi ninajiuliza sana, kwanini kuna watu wakiwa wanaanza mahusiano wanakuwa na jitihada na juhudi nyingi kunogesha mapenzi mfano kukupigia simu, kukupa kadi na zawadi na kuonyesha upendo alafu...
Happy Valentine y'all. . .
Mine was quite memorable. . .I hope yours went well!!
Nwy wakati mwingine waweza kuta watu wawili wanapendana haswa, achana na kutamaniana. Mapenzi ambayo kama...
ni ukweli na wala sitanii waungwana,..
nilihisi, na nimeambia wazi, na hatimaye kuthibitisha
kuwa manzi (mtoto wa UDSM) wangu anachukuliwa na hawa vijana wanaojishughulisha na kuchezea kucha
na...
Najua ni maneno tu, hata kwenye khanga yapo ila yana maana.
Kilokushinda kukila, Bora sikitie hila, Kama ulisusa basi mwenzio atakula.........
Alikuwa wako ukashindwa kumtunza, amempata mwenzako...
Tunasikia na tunaambiwa kwamba katika mahusiano ya mapenzi yahitajika wawili wapendanao wavumiliane na wachukuliane (kuukubali udhaifu wa mwenzako na kuuishi).
Je ni kwa kiwango kipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.