Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Naomba mnisaidie japo ushauri!! Nipo na girlfriend wangu huu ni mwaka wa tatu sasa tokea nasoma mpka hivi sasa naangaika kutafuta kazi, tatizo ni kwamba huyu mwenzangu nimegundua kuwa yupo na mtu...
0 Reactions
67 Replies
5K Views
Yaaminika asilimia 44.77 ya wanandoa wanatunza watoto si wao..pengine wengi wameamua kukaa kimya sababu mateso yake ni bora waendelee kulea hivyo hviyo watoto wa wenzao..je wewe unalea wako ...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa Takwimu ya mwaka 2002 Tanzania ina idadi ya watu wapatao Milioni 34, na kwa idadi hiyo, idadi ya wanawake ipo milioni 17 na ile ya wanaume ipo Milioni 16. Mpaka hapo kuna ziada ya...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Mpz wangu nimekuwa nae muda mrefu ila anatatizo la kutonionea wivu hata anikute mazingira hatarishi hii hali hainifurahishi kabisa hadi inafikia muda mwingine natunga skendo yoyote nione reaction...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Nataka kuacha pombe. nimejitahidi lakini nashindwa. hali ya maisha imekua ngumu halafu nakosa muda wa kukaa na familia. naombeni msaada wenu nifanyeje ili niache pombe? Niko siriaz wakuu.
0 Reactions
27 Replies
2K Views
its no doubt kua ndoa inaugumu wake, tena sana tu...knowing that, y watu hawaachi kuoa na kuoana? maisha ya mahusiano raha tupu, mkishindwana mna bwagana. ila ndoa!!!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari jf. Unapoanza uhusiano na mwanamke na mambo yakawa yanakwenda vizuri, yaani akakukubalia ombi lako, utaiona dunia kuwa mahali pazuri sana pa kuishi. Mara nyingi katika hatua za awali kila...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
A na b ni marafiki, wote ni wanaume na wameoa. A kamtamani mke wa b. Kamtongoza, mke wa b kakubali kwa masharti ya kupewa tsh 100,000/=. Lakini a hana kitu cha kumhonga mke wa b. Kwa kuwa a na b...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jana tulikuwa na mjadala mkali juu ya mambo ya uchumba. Watu wazima walidai vigezo vya kuchagua wachumba vimebadilika sana siku hizi. Zamani, watu walikuwa wanaangalia sana tabia, uzuri, kabila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar zenu wan jf..nimeridi tena..me nina miaka 25.nimeolewa na nina mtoto wa miaka 2.miaka yote niliyoishi na mume wangu tumepata mafanikio japo nimepitia matatizo mengi kwa kuwa huyu mume...
0 Reactions
52 Replies
9K Views
How can you escape all curses of temptations? By following the rules below, they'll never send you in the wrong direction, I promise YOU. (you can add more and more) 1* It's not about just ME (or...
1 Reactions
1 Replies
812 Views
Hebrews 2:18 Most gracious Lord!I come to Your throne of Grace! Have mercy on me O Lord!As the Scripture says when You were sojourning on this earth You went through the path of temptations. Hence...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Smiling Makes Us Attractive. 2. Smiling Changes Our Mood. 3. Smiling Is Contagious. 4. Smiling Relieves Stress... 5. Smiling Boosts Your Immune System. 6. Smiling Lowers Your Blood...
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Wadau nina rafiki yangu mkubwa sana ambaye nimejua kuwa kwa sasa anatoka na aliyekuwa girlfriend wangu ingawaje wenyewe wanafanya siri sana.,hii imekaaje?.,inamaanisha kuwa hata enzi zile mapenzi...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Wana wa familia ya JF mambo vipi?.Hii ni kwa jisia zote ME na KE. Mko chumbani usiku mmepumzika kila mmoja akiwa anamuahidi mwenzie ahadi tamu tamu juu ya kulitunza na kulienzi penzi lenu na...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
. Why You Should Never Be “Nice” To Women! by Ross Jeffries Many years ago, when I was first making my tv talk show rounds, someone asked me, “What do women want?” I said something that nearly...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Leo nimejikuta nashangaa nikaambiwa unashangaa nini? Men kujiweka soap, na kujipodoa usharobaro. Wanaketi mahoteli makubwa na kuvizia wanawake wawanunulie kinywaji! Ama kweli maisha...
4 Reactions
51 Replies
4K Views
habarini wana jf,mwenzenu ninammisi sana mpenzi wangu kwasababu yuko mbali, naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa kukaa mbali na wapenzi wao hadi wakazoea nifanyaje,ili niweze kuzoea hii...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Hivi jamani mahusiano magumu sana, Wakati mwingine unaona umeula your the luckiest woman, Unaona kama dunia umeiweka mkononi, Wakati mwingine unajiona looser tu, kama huna thamani yoyote duniani...
6 Reactions
52 Replies
4K Views
Maswala ya wivu tuweke kando jamani. Swala ni hivi kwenye wallet ya mpenzi wako kuna condom tatu ambazo walipewa kazini kwenye zile training za kuhusu ukimwi,zimekaa muda kweli kila ukipiga chabo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom