Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mimi ni kama mkimbizi nyumbani kwangu. Kabla ya kuoa, nyumbani kwangu kulikuwa ndio kimbilio baada ya mihaingaiko yangu ya kutwa nzima, lakini tangu nimuoe mke wangu huyu ambaye nimedumu naye kwa...
6 Reactions
53 Replies
7K Views
Unakutana na binti mzuri cute, perfect figure, tumbo hamna shape saafi makalio si haba na kila kitu kingine anacho. Unasema ngoja nijikite mazima unatangaza ndoa anakuwa wako. Bwana wee hata...
4 Reactions
104 Replies
9K Views
Ni ushauri tu kwa akina dada: Leo nikiwa njiani kuelekea kwenye deiwaka kulitokea jambo ambalo kidogo ni la kusikitisha. Akiwa kwenye daladala ambayo ilijaza kupita kiasi dada mmoja alianguka...
4 Reactions
76 Replies
11K Views
Kuna wamama wengi tumekuwa kimya sana na wengi wamekuwa kimya sababu awataki kujua jukumu lao...baibo inasema wanawake watawalinda mumewe wewe kama mke umemlindaje mumeo??ujawahi kukesha hata...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Na Mwandishi wetu KATIKA gazeti la Uwazi, toleo la wiki iliyopita tulitoa habari za mtoto Mustafa Ally, 12, (pichani), mkazi wa Mtoni Mtongani, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
He's got his knickers in a twist: Brazilian councillor proposes law demanding brides wear underwear when they marry Some brides believe their marriages will last longer if they go knicker-less at...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nionavyo mimi ni busara tutumie jukwaa hili kuelimishana mambo ya msingi ya maisha badala ya mizahaa na mambo yasiyo ya kujengana,tuzungumze mambo ya kiroho na mwili pia ili mradi msomaji ajegwe...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu wa Jukwaa, Heri ya Mwaka Mpya 2012. Kuna Mwanaume ambaye ametokea kunipenda sana, nami nampenda sana ingawa hatujafikia hatua ya mahusiano ya kimwili. Napenda kumwita A. Kinachonitatiza...
0 Reactions
188 Replies
12K Views
  • Poll Poll
.jpg"]...nisaidieni mawazo wanandugu. Baina ya kipato na familia kwa mtazamo wako, kipi unakipa uzito mkubwa kuliko kingine?... ...kabla wenye muono 'tofauti' hamjanitoa jicho, kipato namaanisha...
6 Reactions
91 Replies
7K Views
Hivi kwa nini pete ya ndoa inavaliwa mkono wa kushoto, mkono wa kulia inakuwaje?
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani habari, Mie ni kijana mwenzenu nipo kwenye ndoa mwaka wa 2 sasa , lakini sometimes nashindwa kumuelewa wifi yenu/shemeji yenu sijui tatizo ni nini. Mimi nina bahati mbaya moja kwenye...
0 Reactions
179 Replies
10K Views
Dear ---, I can't find the words to describe how I feel about you that I have not already written. I have expressed my love for you and my desire for you and my burning passion...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau na anaendelea kukupenda!!! ... UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mpenzi wangu nampenda saana na tumedumu miaka miwili. Kasoro yake ni moja tu, mvivu sana wa kufikiria wala kujishughulisha kimaisha wala hana kabisa kufikiria mbele. Nimfanyeje abadilike kabla...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Hili neno au hii habari inasemwa sana mitaani, kwamba mwanaume atakaemvunja bikira mwanamke husika. Inasemwa mwanamke huyo hatomsahau milele! Na hata ipite miaka mingapi na yuko katika mahusiano...
0 Reactions
69 Replies
14K Views
HOW TO MAKE LOVE WITH A WOMAN ( KWA WALIO OA TUU) One of the biggest problems men face is knowing how to make love to a woman! Unfortunately what commonly happens is men get their sexual advice...
4 Reactions
54 Replies
5K Views
Wana JF, Heri ya mwaka mpya 2012. Wakristo wanaamini katika ndoa ya mke mmoja mme mmoja. Waislam wanaamini katika ndoa ya wake wengi yaani mme mmoja wake wengi (wasiozidi wanne), hizi zote ni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Taarifa hii niliikuta inaishia lakini nilibahatika kupata kujua kilichotokea,ila sikujua eneo unyama huu,kuna mwanamke amemnyonga mwanae baada ya baba wa mtoto huyo kumkataa huyo mtoto kuwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mkasa huu ulinipata Mwaka 1999, nakumbuka nilikuwa katika kuhangaika kutafuta kibarua, nilijikuta nikiwa kwenye ofisi moja ya jamaa yake kaka. Nilifika hapo baada ya kaka yangu kuzungumza na huyo...
6 Reactions
84 Replies
15K Views
Je nikweli ukitoka nje ya ndoa yako basi nawewe ujue kuna wanaotoka na mkeo/mumeo??Kama nihivyo basi wanawake ndo wakulaumiwa kwa hili kwakuwa wao ndo wanaotengeneza huu mzunguko!!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…