Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna jamaa yangu kanifuata kuomba ushauri juu ya tabia ya mke wake, naomba busara zenu wadau. ishu ni kwamba toka mke wake apate ujauzito, nyumba imewaka moto! shem amekuwa anamgomea mara nyingine...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Wana JF. Katika matembezi yangu ya weekend nilikwenda sehemu moja kwa mapumziko kwenye ufukwe wa bahari. Wakati nimekaa pembeni yangu walikuwepo kina dada kama watano wakipiga story zao...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Zaidi ya kuwa matiti ni kiungo katika mwili wa mwanamke, pia matiti ni alama au kitambulisho cha mwanamke kuonesha yeye ni mama, huonesha mapenzi/upendo, ulinzi, nguvu, upendo, kukomaa kwa...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Nina uhakika wengi wetu (kama siyo wote) katika maisha, tulishapenda, kupendwa, kuacha na kuachwa vile vile. Kwa hiyo katika mahusiano tunajua wazi kwamba penzi huzaliwa, hustawi na wakati ukifika...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Kale kadada ambako kaliniboa nilikakimbia baada ya kunipiga mzinga wa hela ya saluni mara baada ya kukatoa lunch, eti kanaanza kutaka nikutane nako tena! Kanaanza hivi.... Samahani kaka, unajua...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hebu chukulia umeoa mke ambaye ana kisirani hivi, kisirani hicho kinapevuka na kufikia mahali anakufanyia jambo ambalo mimi naweza kuliita ni uhuni. Anaanza tabia ya kutumia tendo la ndoa kama...
2 Reactions
100 Replies
9K Views
kila jamii ina taratibu zake na mifumo yake ya jinsi ya kuishi. Haya yafuatayo ni mambo ambayo nadhani kwamba yanagawanyika katika jamii ni yepi ya kufanywa na wanaume au wanawake na yepi ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Weekend hii nahitaji mdada wa kuspend nae kwa jumamosi na jumapili umri si kigezo na urembo si ishu... Kwa alie mpweke na serious anipm
0 Reactions
42 Replies
3K Views
A Malawi newspaper the Nyasa Times is reporting that a man died in the commercial city of Blantyre after engaging "himself beyond the limit of sexual frenzy." Fletcher Jere died ‘riding' a...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Hari zenu wakuu, hii ishu mwenzenu inanipa tabu kidogo yani nashindwa kuzoea na kutoishangaa,kuna mbaba mtu mzima tu mwenye familia yani akirudi tu kutoka kazin au akiwa kwake mda wote anakuwa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Mi ninampenzi wangu 2napendana sana,kila niendapo kwake nikifika tu ananiambia naomba cm zako na kuanza kupekua,hapo mwanzo nilisevu jina lake la kawaida na baada ya kupekua akabadilisha lile jina...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Tunajua wote kwamba, hutokea wanawake wakateswa sana kwenye uhusiano wao wa kindoa au kimapenzi na bado wakaendelea kukaa tu kwenye uhusiano huo. Inafikia hadi mtu anakufa huku akiona kabisa. Watu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga. Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya: 1.Finencial Statment...
1 Reactions
226 Replies
16K Views
Wapenzi wa JF mkasa huu ni mkasa nimeusimulia kwenye jukwaa jingine
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani naomba uliza ni umri gani, au katika mazingira gani baba anatakiwa kuacha jukumu la kuhudumia familia yake?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jirani na rafiki yangu amenieleza kuwa yeye na mke wake wanapendana na huwa pia anampa support kwa mambo yote including ku support watoto. Yeye ni mwanaume mwajibikaji kwa watoto na mkewe. Wote...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mi sipendi kabisa..Unakutana na mdada, mnafahamiana kidogo, mnapeana namba za simu, mnapanga one day mkutane mpate lunch, mnakutana na mnapata lunch, then mnapanga one day mkutane kufumua amri ya...
1 Reactions
155 Replies
11K Views
habar za wkend wadau!leo katika pitapita kwenye mablog nikaona maneno matamu matamu yakanivutia kuyaweka hapa JF!Samahanin kama yalishakwishwa wekwa hapa JF!bas tujimvuzishe. Kila mwanaume...
0 Reactions
29 Replies
105K Views
Hivi ni kwa nini hili suala la "tuendelee kuwa marafiki wa kawaida tu" kwenye mapenzi huwa haliwezekani.,ni kwa nini hata pale wapenzi wanapoachana by mutual consent huwa na ile element ya...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Hii print screen hapa chini ni moja ya profiles za mdada anayetafuta mtu wa kucheat naye. Kuna watu wanasemaga eti wanawake hawachitigi bila sababu - sijui hata maana yake ni nini. Hapo chini...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…