Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hebu chukulia kwamba mumeo amefikia mahali kwamba, hana anachokusaidia, yaani ni mzigo. Ni mzima wa akili, mwili na anafanya kazi, lakini hana msaada wowote kwako. Wewe ndiye unalisha familia na...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
msichana kuwa na jinsia mbili ya kike na ya kiume ni ULEMAVU AU NI FARAJA KWAKE KUZITUMIA ZOTE.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Natangaza rasmi kuwa according to my plan nitafunga ndoa tarehe 25/12/2012. Now the hunt for my wife to be start now officially
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Wana JF naomba mchango wenu, inawezekana kwa mwanamke kugundua kama ni mjamzito baada ya siku 3 ya kufanya SEX? if YES ni Dalili gani izo!
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni kweli unaweza ukasamehe na ukasahau kutoka moyoni? Nimejaribu imenishinda. Wanajf nisaidieni njia ya kusamehe na kusahau kutoka moyoni
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Hivi wanaume tuliooa tukijivua gamba na kusema kucheat basi je nyie wanawake mjini patakalika?au wengi wenu mtatia huruma?Maana wasio oa kila mmoja anamtuwe!
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Mwanamke asipokuwa mwangalifu wakati akimuomba mwanaume amsaidie jambo, anaweza kutengeneza mazingira ambayo yatakuwa ni njia au chanzo kizuri kwa ndoa kusambaratika. Kuna aina ya uombaji ambayo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF, leo nimeenda kanisani na nimemsikia mchungaji anahubiri eti hata ukimkuta mke wako au mmeo anazini inabidi umsamehe.. Jamani hili linawezekana au ni hadithi za abunuwasi? MSAADA.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna mdada flan hv nilmpga sound ka miez 7 imepita akanikataa kwa kigezo cha kwamba ana msela wake na vle vle haijui vzr tabia yangu!wel,me nkamwambia isiwe tabu coz stil we cn be good frds,bac...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Nina shaka sana, kwani WANA JF, huyu Rostam, kwenye speech yake toka.. matukio-michuzi: kauli ya mbunge wa igunga Mh Rostam Aziz wakati akijiuzulu leo, si ndiye aliyesema siasa ndani ya ccM ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajf, Natumaini weekend imeanza vyema. Kwa hivi karibuni nimekuwa nikifanya utafiti binafsi juu ya mahusiano nikagundua kwamba wanawake, hasa wanachuo wanadanganyika sana kwa sababu wengi wapo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii nukuu imenikumbesha zile siku za balehe, karibuni msome na kutoa maoni yenu. As I sat there in English class, I stared at the girl next to me. She was my so called "best friend". I stared at...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Eti jamani, kama tumejaliwa tuna kanyumba kako compicated kiasi, tuseme kama ka EL kule monduli, tukiajiri house cleaners kadhaa, wakisafisha nyumba nzima akuwa vibaya? namaanisha vyumba vyote...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Sasaiv kamezuka kamtindo eti pale unapomtongoza dem au unataka awe mpenz wako,then unamuuliza ka ana boy anakwambia yupo na tena anasoma nje ya nchi huko U.K. au marekani,then unafanya upelelez...
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Ukishangaa ya Maksimo ya Paulsen yatakukuta... ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye wapangaji 4 wote wakiwa katika ndoa isipokuwa mimi. kuna rafiki yangu ambaye mara nyingi anafika kwangu hasa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
jamani wana jf nina mpenzi wangu tumekaa nae kwenye uhusiano kwa muda wa miaka miwili na tulikuwa tunapenda sana ila muda ukafika nikaamua nianze mikakati ya kuoa,nilipomwambia tu kuhusu ndoa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimetendwa sana na nimezoea sasa hivi,hata nikipenda yaani nachukulia kawaida,hata akinitenda poa tu wala siumii,aniache asiniache ni poa tu. Yaani sifeel kuwa ni special kwangu,namchukulia...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
habari,naomba ushauri wenu jaman,npo mapenzini mwaka sasa lkn nashndwa kumsoma mwenzangu,nisipomtafuta bac wiki litapita hajantafuta na akijitahd cku nne,nikimwandikia sms hajbu akjtahd short...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Kuna wanaume kwa wanawake wengi walio kwenye ndoa wanavyoishi maofisini laiti wenza wao wangekuwa karibu nahisi asilimia nyingi wangekuwa juu ya kitanzi cha ndoa. Kuna watu maofisini wake kwa...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Ikiwa imebaki siku moja tu kufanyika kwa shindano la miss universe kule Brazil(jtatu) imenibidi nikate tamaa kwa mwakilishi wetu kule (yaani Nelly Kamwelu).Nikiwa mmoja wa mdau na mkereketwa wa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom