kwa asilimia kubwa kwa walioko kwenye ndoa utamani na/au kukumbuka baadhi ya vipengele vya maisha walivyokuwa wakiishi wakati wakiwa bachelor, je ukipewa likizo ya mwezi mmoja kuwa off marriage ni...
Utakuta mpenz wako anakuambia "nakupenda kutoka moyon" au "moyo unaniuma sana"
je moyo una hisia, si kwamba kila kitu kinafanyika kwenye ubongo?.
Tubadilike tuseme "kutoka kwenye ubongo"...
Ni asubuhi ya Ijumaa Tar. 2/09/2011. Rafiki yangu kaniita Tabata
Anasema ana mazungumzo na mimi. Ninapofika nyumbani kwake
Simkuti, namkuta mkewe naye anajiandaa kuondoka, anamsindikiza...
Wandugu nilikuwa safari,nimerudi nyumbani kwangu usiku wa manane nimemkuta mama mkwe kalala na mke wangu chumbani kwangu,na nina nyumba kubwa tuu ya vyumba 4.niwaeleweje hawa watu na nifanyeje...
Kwa kifupi sana ni hivi. Mwaka 1975 nikiwa mwalimu kijana bado, nilifanya jambo ambalo kwa wakati ule wala halikunisumbua ingawa lilikuwa baya sana. Bila shaka, wale wanaokumbuka mfumo wa elimu wa...
Kukosekana kwa malezi ya dhati ya mama kumeonekana kuwa na athari kubwa juu ya kukua kwa mfumo wa neva wa mtoto na hupelekea kuathiri
saikolojia ya mtoto.
Hii ina maana kwamba...
"you don't love a woman because she is beautful,but she is beautful because you love her and the definition of a beautiful woman is one who loves you"
thnx.
Kiswahili is not among the top 10 sexiest accents, uugh!!!
The world's top 10 sexiest accents
We recently asked our Getaway Facebook community what they thought the worlds sexiest accent was...
ndugu zangu naombeni msaada wa kimawazo
nilikuwa na girlfriend ambaye nilimpenda sana, lakini kwa bahati mbaya nilichukuwa uamuzi wa kumuacha kutokana na kuona ananitesa sana katika mahusiano...
Wasichana huwa wanasema umenipenda au umenitaman!. Je unaweza kutamani kitu ambacho haujakipenda?. Mi nashndwa kuelewa kuwa unaweza kumtamani msichana ambae haumpendi.
Nawakilisha.
Katika rabsha za hapa na pale jamaa kalikwaa gono kwa nyumba ndogo. Baada ya siku kadhaa maumivu makali, kaenda hospital kaambiwa ana gono. Kapewa ma-antibayotik, kapona but siku chache baadae...
Nyie wadada mnaonyemelea waume za watu tunaomba kesho siku kuu muwaache wanaume wakae na familia zao na kusheherekea. Kesho muwe wavumilivu mtafute shughuli yoyoye tu ya kufanya. Acheni ku beep na...
Habari wadau. Naamini kila mtu kwa namna moja au nyingine katika maisha yake alishawahi kuomba msaada kwa ndugu yake akapata au asipate. Na katika kuupata/kutopata msaada huo kuna mambo fulani...
Kuna jamaa mmoja jana amefanya kituko..........alikuwa kakaa kijiweni na rafiki zake, ghafla kwa mbali akamuona mama wa mkewe akija na njia ile kilipo kijiwe chao. Jamaa akakimbia na kujificha...
Jamani waungwana wapenzi ukurasa huu wa jamii naombeni msaada.minasumbuliwa na utiwa mgongo miaka mitano nazaidi nimehangaika kila hospitali na c.t.scan nimfanya mara2hakuna tatizo lkn ninaumwa
kuwasiliana kwny simu au online tu bila kuonana?yale ya kusimama gizan yani meeting yenu usiku tu mchana uko busy.au kuweka bayana wa2 wote wawaone na kutambua km ya wema na daimond,au yale...
Jamani hakuna ambae si shahidi wa maswala ya mapenzi kwamba ni kwa jinsi gani yanavyotesa,
lakini, ni nani sasa ambae anaweza kuwa ndo anaaminika kuwa na upendo wa kweli?
sorry nitakuwa nje...
Kuna Hii Hali imezoeleka sana kwamba Chanzo kikubwa cha Matatizo katika ndoa Nyingi ni Mawifi, Mama Wakwe. Sijawahi kusikia Mashemeji wakilalamikiwa au Baba wakwe wakilalamikiwa.
Wanaolalamika...