Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

wapendwa wanajf najua humu ndani kuna thread ambazo huwa hazichukuliwi serioes kutokana na mtoaji mada kutokuwa serious,lakini hili langu nahitaji mawazo yenu nina uhusiano na binti mmoja kwa muda...
1 Reactions
51 Replies
10K Views
Wadau Asalaam aleykumu/Bwana Yesu asifiwe sana. Wadau naomba mchango wenu kwenye hili, kila atakayechangia awe kwenye mahusiano au ndoa. Tangu umeanza mahusino, kuoa au kuolewa umewahi kukutana...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Aku mi siwambii muache kuoana lakini kama kuna muda wakuendelea kuchunguzana embu chunguzaneni tu mtumpunguzie matumizi ya vikao visivyo na per diem jamani jana nimeenda kwa jamaa yangu nikakuta...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika kipindi cha miaka mitano wilaya ya Songea pekee ndoa 500 zimevunjika kwanini idadi ya ndoa zinavunjika ni kubwa na inatisha hatujui sehemu nyingine hali ikoje
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari zenu wandugu, Ni mkasa ulomtokea kaka yangu. Japo nimeuweka in poem form, I hope haujapoteza maana. I hope kuna jambo tutalojifunza..Its areal life story, he is 34yrs now na bado hajaoa...
1 Reactions
48 Replies
3K Views
I know lies are best accepted than the truth, so please,tell me a lie again. Tell me a lie Mainda Say I look familiarThough I know that you don't even know my name. Tell me a lie Say you just got...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Wachungaji Msitangazie washirika dhambi ya mtu mwingine! Monday, June 27, 2011 “Mchungaji unapotangaza dhambi/makosa ya mtu kwa washirika/waumini kinachotokea ni kwamba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman wana MMU nataka kushare na nyie furaha nilionayo, nmezama kwenye mapenzi n thnx to God ninaye mpenda na yeye ananipenda pia. Natamani na kutaka penzi letu lidumu!!
0 Reactions
16 Replies
2K Views
http://youtu.be/jgAif0XEYwI
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amani iwe juu yenu. Nimepokea simu kutoka kwa aliyekuwa member wa barza hii Bw Hossam Mohammed Hafif Al Miskry ( HM Hafif) ambaye kitaaluma ni Civil Engineer wa Kalafiy Construction ya Saud...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Siku hizi ukiwa na Kisingizio cha kukwepa kupigwa mzinga na wapenda kuomba hela (mabinti) kwa sababu ya kuwa mbali (but within Tanzania) utasikia, "Nitumie basi 20,000/, 50,000/=, 100,000/= kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mi nafikiri kile kipengele cha mpaka kifo kitakavyotutenganisha (???) Kiangaliwe kwa jicho la tatu maana upande mmoja naona kama unaumizwa!!!!!! Uzuri wa mkataba na wote mfaidike nao ni kila mmoja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajavamvi mimi ni mgeni huku nipo sana jukwaa la siasa leo naomba ushauri wenu wanajamvi la mapenzi. Jamani nina tatizo ambalo natamani kuachana nalo lakini bado sijaweza. Nina mke mzuri...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Kwa kuwaheshimu watoto na wazee wasipofuke macho huyu ndie org FI wengine copy WWW.WORDHOTSTARS.BLOGSPOT.COM WWW.MROKIM.BLOGSPOT.COM WWW.ZAMARADIMKETEMA.BLOGSPOT.COM
0 Reactions
19 Replies
7K Views
wadau wa Jf mambo vp? Kuna bwana anaitwa Gilbert Raia wa marekani mwenye miaka 99 ameishangaza dunia kwa kuoa mara yakwanza akiwa na umri wa miaka 99. Mzee huyo alikuwa mwanajeshi wa marekani...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Mtu anapokosea kwenye uhusiano ni rahisi mtu kulalamika na kutumia kama kigezo cha kuachana haijalishi mmeombana msamaha inakuwaje mazuri mengi ndani ya uhusiano yanafutwa na makosa machache!
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari, Hivi karibuni nimeingia kwenye uhusiano mpya na kijana ambaye ninahisi ananipenda kweli. Tunakaribia mwezi wa pili katika uhusiano sasa, ni mvumilivu na hana haraka na mwili wangu. Ni...
2 Reactions
88 Replies
7K Views
Kwa mabinti wote Akiwemo afrodenz. hivi nyinyi mnapenda mwanaume awe na sauti gani? nyembamba kama nyinyi ,nyororo, kigugumizi au sauti la besi kama mvuta bangi etc?
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Jamani wanawake wa JF nafikiri mtakubaliana na mimi kuwa wanawake wengi tulioko kwenye ndoa sivyo tulivyo. Tumebadilika kutokana na tabia mbaya za waume zetu. wametusababisha tumekuwa na Gubu...
6 Reactions
114 Replies
8K Views
Manzi angu, atakanimle tigo ake. Nini madhara ake?
0 Reactions
4 Replies
960 Views
Back
Top Bottom