Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari yenu wote wahusika wa hapa? Nawasalimu katika jina la bwana!Naomba mnikaribishe tafadhali.
1 Reactions
57 Replies
3K Views
Habari zenu ! Natumaini wote mnapenda wapenzi wenu wawe na sifa zote mnazozihitaji, Swali langu ni kuhusu sifa mbili kati ya nyingi za mwanamme. Kuna wanaume wawili, mmoja ni mwaminifu,hawezi...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Malenga ninawajia, kisima nakisifiaMachoni kinavutia, nakipa mia kwa miaumbo lake asilia, bado halijafuliaKisima hiki kisima, raha kinanipatiaNdani ninavyo ingia, akili zangu zarukaNabaki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wa JF, Nimekua msomaji hapa mda mrefu na hasa kwenye siasa ila nimeamua kuingia rasmi kwa kuvutiwa na hoja kadhaa.Hata hivyo sitawaeleza chama changu ni kipi ili niwe na mawazo huru.Hili...
3 Reactions
73 Replies
5K Views
Mara kadhaa imenitokea na pia nimesikia wenzangu pia wakishuhudia........wakati mwanaume anapokuwa katika harakati za kuomba uhusiano kwa mwanamke hukumbuna na maswali kama....hivi umenipendea...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Hili nijini linalofanya kazi ya kukutenganisha wewe na bosi wako jini hili huhakikisha kwa bosi unaonekana kama choo kikubwa habath hili ni jini msaidizi linakaa chooni bosi wako akienda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hili ni jini linalocheza naakili za watoto zetu..yawezekana abako na mama walitumiwa hili ndio maana kila kukicha kwenu chuo kikuu ni hadithi ...sasa basi ifike wakati sema imetosha kama unasoma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu. Matokeo kanitukania boss wangu . Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
0 Reactions
73 Replies
5K Views
Hiili ni jini linalosumbua sana ndoa za watu ,hupitia kwa watu kupitia vikosi vyake vidogovidogo vya jini mahaba, hili jini moto wake ni kuona aupo kabisa na kama ukikomaa ujasimaa na mungu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hili ni jini la kuharibu watoto, jini hili limekuwa likisumbua sana hospitalini nahuwa linahama hospital moja baada ya mwingine chakula chake ni damu jini hili ukilikemea anza kulitaja jina haswa...
0 Reactions
1 Replies
932 Views
Hili ni jini la kuharibu watoto, jini hili limekuwa likisumbua sana hospitalini nahuwa linahama hospital moja baada ya mwingine chakula chake ni damu jini hili ukilikemea anza kulitaja jina haswa...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
wataalam, naomba mnijulishe gharama za kufanya harusi yenye wageni waalikwa 300
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna post ambazo sizielewi elewi humu ndani ya MMU, na style ya Uandishi wake, Hakika zina Match exactly na Shemeji/wifi yenu. Kuna post nyingine anaomba ushaur ambazo zinagusa Mambo yetu though...
2 Reactions
45 Replies
4K Views
Bwana yesu asifiwe pengine leo unaweza pata soln ya matatizo yako ya miaka nenda rudi hii ni kwa neema ya mungu tu ndugu mpendwa pengine umekuwa na shida mbali mbali za familia ikiwemo matatizo ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi kwa muda nimekuwa nikiumizwa na hili jambo. Mama mkwe wangu ni kama mke mwenzangu. Mume wangu anapanga budget na mama, kila kitu ni mama. juz kachukua mkopo bank nusu kampa mama afanye...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Yeye Kwanza Mitazamo ni suala muhimu sana inapokuja issue ya kumfanya mume wako ajisikie raha na wewe chumbani.Kuna tofauti kubwa sana na pana sana kati ya mwanaume na mwanamke na tofauti kubwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HABARI WANA JF Naombeni ushauri kwa hili! Nina dada yangu ana rafiki yake mpenzi wameshibana sana na kuaminiana kiasi kwamba amekua kama mwanafamilia mwenzetu au ndugu...... Kutokana na maelewano...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Juzi asubuhi nikiwa nyumbani mke wangu alikuja nyumbani huku ameshika gazeti moja la kampuni maarufu kwa kuchapa magazeti ya udaku. Nilimwomba nilitazame(ingawa mimi sio msomaji wa magazeti ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kwa mtazamo wangu ni kweli utumiaji kondom inapunguza upendo coz utakuta wasichana wengi wanasema nmepata boy mpya bt natumia nae kondom ukimuuliza atakwambia sijampenda niki2mia nae kondom...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Nimekua na rafiki yangu ambaye nilimjua kupitia kwa mpenzi wangu ambaye ni rafiki ya mke wake. Shughuli zote za jikoni, kuosha mtoto, kuandaa mtoto shuleni baba lizima lafanya tena mbele ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom