Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kama mnakula ni lazima kila mkimaliza mlo mmoja muoshe vyombo au mnaendelea kuongeza kupakua na kula, mkiwa mmeshamaliza kabisa ndiyo mnaosha vyombo? Inakuwaje kama mmoja wenu kila baada ya kula...
0 Reactions
121 Replies
12K Views
A touchy Love story .. ;-(A Girl Was Tired Of Her Bf's Msgs every nite Which Always Said- I Luv U, I Mis U....One Nite She Received A Msg FroM HiM But Didn't Read It because she though its the...
0 Reactions
2 Replies
783 Views
Jamani msaada, hivi mtu akisema she/he has been flirting out wth someone, wat does it exactly mean?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Dah...tangu huu nijulishwe kuhusu huu wimbo na rafiki yangu umenikaa kichwani kama UBONGO...kama siusikilizi unajipiga wenyewe kichwani. Tangu jana mchana nimeuplay siku nzima mpaka sasa hivi...
1 Reactions
2 Replies
882 Views
Jamani hawa machangu wanamvuto gani yaani ronaldo,cruch,rooney,,yaani masuper star woote sasa imerudi kwa wachezaji soma hili wachezaji wa timu ya taifa ya mexico 8 wamefungiwa miezi sita kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wasalam wanajamvi mm huwa najiuliza sana kuhusu watu kuwa na kasumba ya kukumbushia penzi kwa mtu aliyeachana naye muda mrefu na kila mtu akaenda kwenye njia zake nyingine labda mwanaume...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mh! Kama ninachoona hapa ni kweli bs kazi ipo... Kati ya wadada niliowaona ktk cm ya fisadi langu, 4 wako hapa nimeona walivyokuwa wamesaviwa ktk cm ndivo wanaappear hata hapa so the guy is JF...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Where to go with your date? You got the number to call, and you know they like you, but what should you do about it? Of course you should make plans to spend time together, but where, and doing...
0 Reactions
1 Replies
792 Views
nina umri usiozidi 31. nina watoto wanne kila mmoja na mama yake. wa kwanza nilimpata nikiwa sekondari, wa pili nikiwa chuoni, watatu nikiwa internship na wa nne nikiwa tena chuoni. kati ya hawa...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
1. Nimepata wa thamani, ni hakika si majungu, Mwingine sitatamani, nimefunga moyo wangu, Sikupotea ramani, nimezikubali pingu, Mimi nawe Naimani, ni kama wingu na mbingu! 2. Kila nionapo wingu...
16 Reactions
85 Replies
6K Views
Jamaji dada zetu, mbona hivi? Zile blauzi ndogo zinazoacha sehemu kubwa ya mwili mbona zinavaliwa bila kuzingatia hali ya hewa? Leo asubuhi nilikuwa nashangaa njiani baada ya kupishana na wadada...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Imenifanya nijiulize: a. Inasababishwa na nini? b. Inafikaje hadi mwanamme anamtwanga mumewe/mpenzi wake c. Ukitwanga na mwanamke unaenda kushtaki au kumwambia mtu? Nimesema hivi kwa sababu...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
mimi najua humu ni jukwa la great thinkers sasa mtu anpofanya kosa na kumchekea tunajenga tunabomoa? alafu ukiweka post ili turekebishane ana tetewa kwa kufuta post.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wasalaam, ama baada ya salamu mi ni mzima kabisa. Nasikitika kuwajulisha kuwa tangu sasa mkija ghetto na kuacha nguo zenu kama vile chupi, kanga, sidilia na nyinginezo mtazikuta majivu. Pia...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
Unajua huku jamvini asilimia kubwa watu wanatumia avatar ambazo sio picha za sura zao. Hata ivo kwa ninavyoona mimi, na nadhani ni hali ya kawaida ya kibinadamu, watu wengi humu tunajibu hoja za...
1 Reactions
176 Replies
8K Views
Huyu ndo katoka kazini,kapokewa na mkewe kipenzi kambusu kampa pole ya kazi,mezani tayari kuna supu ambayo ni sharti mumewe anywe ili apunguze uchovu,mke huyu ini darasa la saba,ni juzi tu...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Hii ya moto moto kutoka Clouds. Mwanaume mmoja huko Shinyanga amefumaniwa (tena ndani ya chumba chake na mamsapu) akila uroda na house girl wao. Imekuja kujulikana huwa anamla takribani miezi 6...
2 Reactions
122 Replies
14K Views
Babies Detect Sadness in Voices at Three Months BABIES as young as three months old can distinguish sad from neutral-sounding voices, according to a new study. Parts of their brains tasked...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nina umri usiozidi 31, nina watoto 4 kila mmoja na mama yake, wa kwanza nilimpata nikiwa sekondari, wa pili nikiwa chuoni, wa tatu nikiwa internship na wa nne nikiwa chuoni tena. Wawili kati ya...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Wazazi wa bw arusi kuingia ukumbini, then wazazi wa bb arusi, then bw na bb arusi kuingia ukumbini (wimbo wa kinigeria), then kufungua champaign, then kukata keki, then kupeleka keki kwa wakwe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom