Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari wakuu, hivi wasichana wenzangu mshaona hii , unamwandikia email, au sms, au barua ndeeefu mpenzi wako halafu yeye anajibu maneno mawili, matatu..... mie binafsi naona hii wanaoathirika...
10 Reactions
96 Replies
7K Views
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku, wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi, futuhi, majuto nk. Wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema, rai, mwanahalisi, mwananchi nk...
4 Reactions
74 Replies
7K Views
:mwaaah: Je, wanawake ni wepesi kudanganyika linapokuja suala la mahusiano/mapenzi au wanaume ni wataalamu wa kudanganya? Nawasilisha......
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Source: WAPO FM RADIO Leo tena asubuhi katika kipindi cha PATAPATA, imetoka mpya tokea Kiteto kule Manyara. Mzee mmoja alioa na kubahatika binti mmoja na kijana wa kiume mmoja kwenye miaka 14...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
1. women speak in paragraphs BUT Men speak in sentences. 2. Women can smell dirty socks at 100ft BUT Men have to hold them to their nose. 3. Women think that a better place to place a remote...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakubwa zenu heshima ni muda mrefu sikuwepo jamvini naleoo hii nimerudi. na mshukuru mungu kwa kuwapa afia njema na amani na nawapa pole wote waliopatwa na udhuru za hali yoyote mungu ata wajalia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
kama sehem zetu za siri zingewekwa mita na matokeo yake kusomeka usoni ukimwi ungeendelea kututesa?????
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Naomba msaada juu ya HILI. Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya 1)Akupe mtoto mwema...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Kwa umri nilionao nimekutana pia nimeona vituko vya kutosha,wako mabinti walikuwa na watu wenye hela wakaachika wengine waliolewa na maskini wakaachika,lakini wapo waliokuwa kwenye ndoa waume zao...
0 Reactions
119 Replies
9K Views
habari wana jamii forms, napenda mawazo yenu na michango mnayotoa humu,,mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23 naomba msaada jamn,nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto...
3 Reactions
152 Replies
12K Views
Ndugu, Mimi nimeoa na nina watoto. Nimekuwa nikisikia mara kwa mara kutoka kwa wake wa kaka zangu wanashitakia kwangu kuwa kaka zangu hawafahamishi wake zao juu ya mali zote wanazomilki, deals...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
WanaMMU-JF..........habari za weekend? Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa katika mahusiano na mapenzi kuna aina mbili za wanawake 1. Wale wenye kismat....yaani bahati flani kiasi kwamba...
5 Reactions
138 Replies
9K Views
Katika pitapita yangu ndani ya nets nimekutana na habari hii inayoelezea chanzo cha E. Coli contamination of Cucumber kama ilivyoripotiwa na netgroups huko China. Katika page moja jamaa ameandika...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Nimekuwa nikisikia mara kwa mara "nina kidumu" au mdada anajisifia "kidumu chake" kiko hivi au vile. Mwanzoni nilifikiria wanazungumzia vile ambavyo si "galoni". Lakini siku za karibuni vidumu...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Wana JF, Kwa nini mwanaume akiwa na wanawake wawili au watatu anaishi nao kinyumba si tatizo, lakini mwanamke akiishi na wanaume wawili kinyumba ni tatizo kubwa?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
umetoka zako kazini, umeingia ndani umekuta laptop ya mkeo ipo on. unaona ngoja niingie JF one time. unaingia unakuta mkeo hajalog out hapo kweney JF kuangalia profile yake salaale ni NOTFOUND.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
jamaa yangu anategemea kufunga ndoa miezi ya hivi karibuni lakini hajui nini huwa kinafanyika siku za harmon zaidi ya tendo la ndoa na kama ni mazungumzo je ni mazungumzo gani yanafaa kuongewa...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Mpenzi wangu huwa ananifokea sana, nifanyeje?
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Women have strengths that ameze men.......they bear hardships n they carry burdens,but they hold happiness,love n joy....they smile when they want 2 scream...they sing when they want to cry...they...
2 Reactions
0 Replies
689 Views
TYPES OF WIFE THEIR CHARACTER TRAITS 1 Party Wife These are women who · Are very mobile and very sociable · They are always attending one function after the other (every wedding, bridal and...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom