Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna nywele siku hizi wanawake weusi wanazivaa kichwani wanaziita human hair, mwanamke mweusi akizivaa hizo nywele anakua kama mhindi si mhindi, mzungu si mzungu. Mwanzo mimi nilifikiri ni...
3 Reactions
45 Replies
8K Views
Some people say money,some say beautfull garls!What do think?Unahangaika usiku na mchana upate hela au utoke outing na mabint wakali?(wazuri)au ni vijana mahandsome??
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Ilikuwa juzi jumatatu nilipokuwa naongea na bro wangu kuhusu kuwa mpaka leo sijaoa,nikamuuliza kuhusu uaminifu wa wanawake,akaniambia nitakapo tafuta mchumba niwe makini kwani mabinti wembamba...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana jamii especially wapenzi wa MMU! Jana jioni nilimtembelea shemeji maeneo ya Mbezi ya Kawe kwenye flat za BOT... kituko nilichokiona pale kiliniacha mdomo wazi. Shemeji analea mtoto ambae...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nchini kenya,kuna sheria iko mbioni kuundwa.Sheria hii itamruhusu mwanamke aliye katika ndoa,ambaye mumewe amepungukiwa nguvu za kiume,kumshtaki mumewe mahakamani na hatimaye kuomba kupewa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Juzi nilianzisha thread ikiongelea hii ishu. Wengi wakasema ni uongo. Sasa sijui ni wao ndio wanajidanganya maana naona ni ishu iliyo serious sana. Unaweza kuipata hapa...
1 Reactions
86 Replies
6K Views
Home:Arusha,mama mchagga,baba mngoni.Jina Martina. Mdada Agnes aligundulika 2010 kuwa na uambukizo unaoshambulia Anatomy ya mfumo wa uzazi. Alichomwa sindano za kuzuia kusambaa kwa ugonjwa...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Hebu toweni fikra zenu juu ya jambo hili la kukoga na mpezi wako mnaliangalia katika mtazamo wa aina gani ?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani... Rafiki yangu kapatwa na sokomoko la mwaka! Ni hvi, jamaa anasoma Chuo kikuu Arusha na ana mchumba wake ambae wamepanga kuoana miez michache ijayo! Cha kuskitsha, mchumba wake ambae...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Ndugu wapenzi wa JF, mimi siwezi kujiita mpenzi wa taarabu. Lakini mara moja moja huwa nikikaa nikasikiliza maneno matamu yaliyo katika muziki huu. Jana wakati nasikiliza miziki ya taarabu toka...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Inachekesha, ni ngumu kuamini na inanihuzunisha kwa kisa kilichonikumba. Nina mpenzi wangu ambaye tumekuwa wote tangu mwaka 2007 tumekuwa tukiishi vizuri tu tena kwa uaminifu mkubwa sana. Shughuli...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
AND SHE'S 32 YEAR'S OLDER THAN HER GROOM Here I go again ... Pat ties knot with latest, Mark, 24 SERIAL bride Pat Higgins has married her NINTH husband - a toyboy 32 years...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi......leo nilikutana na swali ambalo kwa ka-biology kangu ka kibongobongo nilijibu bila kijiamini maana sina uhakika. Nilikutana na rafiki yangu ambaye mke wake anaujauzito wa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
wakina dada wa JF: You can believe what you see! This guy is a monster!
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Hivi mke na mume ni ndugu au marafiki? Na kama ni ndugu kwanini ndugu wafanye mapenzi? Na kama ni marafiki basi na watoto wawe marafiki tu! Post what you think about this
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Unfortunate that I have to start off this way, but if you do not intend to take some time to reflect on what I will write then I will appreciate if you do not respond or pretend to respond to...
0 Reactions
3 Replies
680 Views
Najiandaa kuoa, hivyo nikawajibika kutafuta mshenga, Nikafanikiwa kumpata Mzee mmoja wa miaka 80 hivi lakini alifiwa na Mke miaka 16 nyuma. nikiamini kwa umri wake na busara zake nikaona...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?
0 Reactions
96 Replies
7K Views
Back
Top Bottom