Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

habar yenu wana JF. Mie ningependa kufahamu tofauti ya love n crush IN DEEP! HOW CAN YOU TELL THIS IS LOVE AND THIS IS CRUSH. Je,crush ina last for how long? Maana kuna rafik yang alimpenda...
0 Reactions
41 Replies
19K Views
Hivi jamani ni kweli kuwa watu warefu maumbile yao ya ndani ni madogo na watu wafupi kadhalika maumbile yao ya ndani ni makubwa?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
[/attach][/attach] usikate tamaa bado haujachelewa
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Tumekuwa marafiki kama mwezi na nusu sasa. Tatizo nikiwa naye mzee anagoma kabisa kupanda mtungi. Nikienda kwenye makoloni mengine, napiga mzigi hadi asubuhi. Fumbo hili limeniacha hoi, je...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Bujibuji kapeleka kulitambuliosha kwao li jimama lililomzidi miaka mitano. Jimama lina mtoto mmoja, bujibuji hana mtoto wa kusingiziwa. Ndugu wamemkataa kata kata jimama hilo, lakini mwenzetu...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ndugu yangu amekuja kuomba ushauri, mke wake ni mwizi, anamwibia pesa kila kukicha. Nguo zake pia huibiwa na mama watoto huyo. Kibaya zaidi kilichomsikitisha ndugu yangu ni kuibiwa kwa mifuko ya...
0 Reactions
57 Replies
9K Views
Butterflies close wings to avoid sex By Victoria Gill Science reporter, BBC Nature Butterflies 'take turns courting' The beauty of British butterflies In the fleeting existence of a female...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana rafiki yangu ame break up na boyfriend wake. baada ya kuuliza kisa ameniambia kwamba huyo bwana anavuja jasho kama mvua. Wakifanya mapenzi ni kama yupo nje ananyeshewa na mvua kwa jinsi huyo...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Police in southern Bangladesh say a woman cut off a man's penis during an alleged attempt to rape her and took it to a police station as evidence. "She said she fought back and cut off his...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nilianzia hapa kueleza kilichonisibu: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/139650-mimi-b-y-na-x.html Nawashukuru sana kwa Michango yenu. Though kuna ambao mlini crash kwa namna...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
If Your Wife/Husband Ain't Give You Any You Got The legal Right To Get Some. Epuka kupotezewa muda na fiance wako, kama hana mwelekeo mpige chini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
In her presence Of my lovely love In her majestic pose She stand, gorgeous Incredibly stunning! Totally amazing! Totally nude Lawd Have Mercy!
0 Reactions
53 Replies
3K Views
Ni kwamba wanawake wa Rwanda na Burundi ambao waume zao ni madereva wa malori ya masafa marefu, wamebuni utaratibu mpya. Wakijua wazi waume zao wako katika mazingira hatarishi kupata VVU, kabla ya...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Mambo niaje wana jamvi, kuna kitu ningependa tuchangiane mawazo.ivi inakuaje mpaka mtu anapoteza ladha aliokuwa anaipata kutoka kwa mpenzi wake. Hapa nina maana kuwa msichana au mvulana kutokuwa...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Nina rafki yangu wa kike nampenda sana ila yeye kanipita miaka 2 ana miaka 28 sasa hv, kila cku huwa ananiuliza nitamuoa lini? Me najaribu kumpa sound cause ya umri wake, isingekua umri ungekuta...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
jamani leo nimeona nijisalimishe hapa kwenu jamii labda nitapata maarifa. mke wangu ana msifia sana mdogo wangu wa kiume, yaani kuna wakati hata hakuna umuhimu wa hizo sifa lakini yeye anamwaga tu...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Nimetokea kumpenda msichana fulani ambaye kanivutia sana.nikamtongoza akakubali kuwa mpenzi wangu.sasa tatizo nalipata hapa,kila akija getto tunapiga story kama kawaida tunachezeana bila...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Natumaini wote mmekua na jumapili njema! Nwy kwa ndugu/jamaa/marafiki na mwenzi wako nini unachukia sana linapokuja swala la mawasiliano (simu au hata email) ?! Binafsi sipendi 1)...
7 Reactions
90 Replies
8K Views
Viburudisho vya Dar eti mkiwa kwenye mtoko unaitwa Baby sogea hapa!!, mara oohh Baby usinywe hiyo. Baby inamaanisha nini sasa? I was'nt born last night. bora niende kwetu Mwanza ninakoitwa...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Easy said than done, take a test and evaluate yourself; 1) Unapokuwa na hasira, unawasiliana naye vipi? 2) Anapofanya kitu ambacho hukipendi, ameteleza unamwelezaje? Unamweleza kama mtu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom