Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Perhaps men - some - are super creatures who do not fear rain, storms, clouds or lions. But there some things would not want their women to know. Until it is too late to ditch the relationship...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni swali ambalo nimejiuliza siku nyingi na bado sijapata jibu,hivi mtoto wa kiume ile pembejeo yake ya haja ndogo inakoma kuongezeka size akiwa na umri gani.Maana kwa kawaida mtoto akizaliwa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Natafuta mwanamke wakupeana mwenye matatizo katika ndoa au alieachika tuweze kupeana raha.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Huyu nae, mama wa watoto wawili, story zimezagaa mtaani, kaolewa na mme wake ni mtu na maisha mazuri tu, ila katongozwa kidogo tu mzee wake kaenda mikoani kikazi anagawa, tena watoto wakiwa shule...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Wanaume mbona tunawayumbisha sana wake zetu? Wakikaa sebuleni kwa kulegea, tunawasihi wakae vizuri. Utasikia dume liking'aka "kaa vizuri wewe", tukiwa na maana wajibane. Wakikaa kwa kujibana...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Uko na rafiki yako.mmezaliwa,mmeishi na hata mmesoma shule moja..tumuite kaka wa kwanza dulla na wapili tonny..wote mko na mabinti mnawapenda sana ila hamjachumbiana..dulla akiwa na rita na tonny...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wandugu, wiki iliyopita nilitoka na kidada flani masista duu wa hapa ofisini, nilikuwa na mtamani muda mrefu, kwa hiyo hii ilikuwa nafasi adimu. Ila kuna kitu nimekiona kwake naomba oponion zenu...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Jamani nimepata jaribu moja hapa oficn mpaka sasa ubongo ume-seize kuelewa kilichotokea, kuna mdada mmoja (mke wa mtu) jana tulienda nae kula (sikumtoa) ilitokea tu tumeenda muda mmoja na tukakaa...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
By carolyne makana Lose weight, exercise more and many more pledges are typical New Year resolutions. This coming year, however, your resolutions should not be so typical. In fact, perhaps they...
0 Reactions
4 Replies
991 Views
Jamani watanzania tunaelekea wapi? Maana kuongopa kumezidi sana. si marafiki wala wachumba.hasa uongo wa kwenye simu,utakuta mtu anasema.niko nyumbani na kumbe yuko sehemu nyingine.hii inasaidia...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wanajamvi ninahitaji wanaojua hili mnijuze atleast nijue hata kama ni pori niingie nikijua ni upande gani kuna simba na upande gani sana swala! Nina mpenzi wangu ambaye yeye kwao ni kyela yaani...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Sisi sote ni ndugu...... Kama kuna binti wa kihindi yupo tayari... nataka tuwe mfano wa kuigwa kwamba sote ni dugu moja.. Just PM me (Lets do it for our Country) Lets mix tuondoe Matabaka....
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Wadau Ilikuwa ni hatari kusikia Mwanamke anatukana Matusi kama MHSENGE na Nyoko" wakati mama mzazi wa mumewe anasikiliza na hatimaye akaamua kuaga hiyo familia na kuondoka arudishwe kijijini...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
nimesoma post nyingi humu ndani zinaonyesha kama mwanamke anapokosa mfano amecheat haitaji msamaha hapo hapo nikiwasoma wanaume wanavohalalisha kuwa na mahusiano nje ya ndoa zao kwanini wamama tu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Siyo siri mwenzenu nimechanganyikiwa na sielewi hatma ya ndoa yetu. Nashindwa kumwelewa mamito wangu! [mama watoto wangu] Tuna miaka 5 ndani ya ndoa yetu,na tumebahatika kupata 2 kids. Lakini...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
WanaJF naombeni mnishauri; Ninaishi na mke wangu kwenye ndoa kwa mwaka wa tatu sasa na tumebahatika kupata mtoto mmoja mwenye miaka miwili kwa sasa.Katika muda wote wa ndoa yetu nilikuwa mikoani...
0 Reactions
62 Replies
5K Views
Leo nimekutana na mkasa tata sana nimeshindwa kuamua kesi hii iliyonichukulia zaidi ya masaa matano. Kuna rafiki mmoja anatembea na dada moja aliyeolewa kwa ndoa na ana watoto wawili ila ANA...
0 Reactions
129 Replies
14K Views
Habari JF Siku za hv karibuni nimekuwa active member wa vikao vya harusi. Si unajua tena unapokuwa na vijana wa miaka 20 na kuendelea kuwekeza kwenye hii saccoss ni muhimu! Haya bana ndo hivyo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ndugu zangu, hebu jiulize ::: Ni sababu gani kuu inamfanya au inamlazimisha mtu aingie ktk ndoa? Kwa nini unataka ndoa?? Je ni kwa sababu ya kupata mtoto?? Au kwa sababu wazazi wamesema lazima...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mme karudi nyumbani chakari….netwek imekata…..mke anampokea mme wake na kumvua nguo ili amlaze kitandani…… Mme: We ma hick hick maaya hick hick…we maaya..niashe hick...
0 Reactions
94 Replies
7K Views
Back
Top Bottom