Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wada nauliza hekima zenu: Kuna jamaa katembea hadi kuzaa na shemeji yake (mdogo wa mkewe); imemuumiza sana mke na kumvunja moyo, ana watoto 3 na huyu mume wa ndoa, uhusiano na mumewe uko...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Sijui ni kwanini katika ulimwengu wa mapenzi ni wachache sana wanaokubali kubeba lawama?Wapenzi wengi wanapotofautiana au kugombana basi kila mmoja atamshutumu mwenzake kuwa ndio chanzo cha ugomvi...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Nina mchumba ambaye nimemchumbia na tuko kwenye mikakati ya kufunga ndoa hapo mwezi wa sita mwakani. Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni. Nlipofika nyumbani kwao...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
hey!bakima na bagoshaa{banyabo na basebo}nje baleko? wakuu nilikuwa na kimwana ambae tulikutana kwenye mtandao flanii wa jamii...kwa bahati tukawa marafiki na kwavile tulikuwa karibu i mean mkoa...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Wadau katika pitapita yangu ndani mtandao, nkapitia forum moja hivi nikakuta mada hiyo hii "CHAKULA CHA USIKU: WAHANGA SASA NI WANAWAKE! - Mwambie, usione haya" Si vibaya nanyi mkaijadili kama...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Mtu na mwenzi wake wakiwa wanapendana mi nachukia kwelikweli, wakiwa kwenye migogoro naona rahaaaa mustarehe. Sijui ntakuwa nasumbuliwa na ugonjwa gani?
0 Reactions
32 Replies
3K Views
kazi ipo dunian humu umefanya mema mangapi umetenda mabaya mangapi umevunja ndoa ngapi kazi kwako mbingu ya pili haya tukisubiri 2011 basi tuache hayo yote jamani kama awajakukawawa wakina sheikh...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wana-JF naimani kila mmoja kwa nafasi yake yuko poa na anaendelea vizuri na majukum ya kila siku, napenda kuwashukuru wote walionikaribisha humu ndani na pia nasikitika kusema kuwa nitapotea kwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF wenzangu wote, ninawatakieni Heri za Krismasi, iliyojaa Baraka, Upendo na Amani nyoyoni mwenu. KRISMASI NJEMA
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Anataka Tuangalie Mkanda! habari za siku!Nina swali ambalo naomba msaada kwani najikuta nipo njia panda na swali lenyewe ni kama ifuatavyo.Mume wangu anataka tununue mkanda wa pornography kwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama umefuga mnyama kama vile paka, mbwa au nyoka. Je unaweza kumuoa?
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Nataka Anioe! Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 25 nimependana na mwanaume mwenye miaka 30. tumekuwa pamoja miaka 3 sasa ingawa kila mtu anaishi kwake. Binafsi nina mtoto wa miaka 3 ambaye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi ni kwanini ina kuwa hivyo? Jiulize haya yanatutokea kila siku.. LAW OF QUEUE: Ukibadilisha mstari unapopanga foleni bank, supermarket ama kwenye huduma ya foleni ule uliouacha unakwenda mbio...
0 Reactions
71 Replies
5K Views
MICHUZI HUYU BIBIE WAKATI SI KUMJARIBU BWANA HARUSI JAMANI NA WAPENDWA WALIO HARUSINI ENYI WANA WAKE MKIWA MNAENDA KWENYE NDOA ZA WENZENU JUENI MWENZENU YAMEMSHINDA KAAMUA KUTULIA NA MMOJ ASASA...
0 Reactions
57 Replies
9K Views
Yawezekana ni hendisam handBASIASI nk,,...wanawake wengi wakakufanya kama bomba la dawassa kila mtu anavuta anapojisikia..saasa basi tukielekea 2010 wewe ukiwa ama umeoa na unajua kuzini nje ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wa janvi nawasalim wote, jamani me nimeshawishika kuandika hii kitu manake ni personal experience. Hivi ni kweli mapenzi ni umpendae nae anakupenda au umpendae humpenda mtu mwingine na wewe...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Dear Salary Please come back to STAY with me. You left in such a rush last month, I didn't even have time to tell you about my plans. I'm sorry about whatever it is I did. I promise I'll be...
0 Reactions
86 Replies
6K Views
Japo bado sijaona njia nyeupe na sahihi zaidi, NINA KILA SABABU YA KUWASHUKURU WANA JF mliotoa mawazo yenu juu ya nini nifanye kuhusiana na suala zima la dogo kama nilivyoandika hapa chini. Baada...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
.............................................................. The allegations centre on a 10-day period after Assange flew into Stockholm on Wednesday 11 August. One of the women, named in...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambo wadau, Nilipitia blog moja hivi ya mambo ya malavi davy na ndoa, nikaikuta hii article.... MWANAMKE: Ili mwanamke afurahi tendo la ndoa: Ni muhimu ajisikia anapendwa na mume wake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom