Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Experts say kissing more makes women feel happier. Men say it makes them feel loved. Have you ever wondered why we kiss? It's actually a strange way to spend your time — lips smooshed together...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani aliyemuona dada Rose1980 naomba ampe salaam zangu, nammiss sana:behindsofa:
0 Reactions
112 Replies
7K Views
Habari zenu wote. Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi...
0 Reactions
964 Replies
52K Views
Ni jirani na swahiba wangu... Anamiliki pikipiki nzuri ya kileo... ana vidli kadhaa ambavyo vinampa hela ya kuishi town... anajua madem wote mtaani... wake za watu hadi vident na bwana zao...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari zenu great thinkers! Naomba kuelimishwa juu ya m2 kuwa na msimamo. Mara nyng ktk mahusiano ya kimalovedav utasikia mwanaume/mwanamke anamwambia mwenzie huna msimamo hii inakaaje! Nini maana...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Ndugu zangunii tumekuwa pamoja katika masuala mbali mbali! Naomba nami nijipumzishe kidogo kwa kutoa shukrani zangu za dhati katika masuala yetu! Naenda hiji kwetu sasa na ntaondoka asubuhi na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wanafamilia... Have a joyous, lovely and peaceful festive season... Ahsanteni kwa elimu kubwa nilopata kupitia jukwaa hili..! hata nikiwa naburudika ktk kipindi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wana jf wote na hasa wasimamizi na wakuu wa jukwaa letu hili lenye mafunzo, manufaa,faida na fahari kubwa kwa jamii yetu. binafsi nimejiunga na jukwaa hili...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nina mlolongo wa mabinti, mimi sijisifii ila ni handsome kama wadada wasemavyo. Nina urefu wa futi sita na nchi tatu, kifua kipana kilicho jengwa na mazoezi na nina vijibiashara ambavyo...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
kulingana na utafiti wangu binafsi, ukioa mwanamke mwenye sifa zifuatazo: 1. mweupe naturally bila kujichubua, 2. umbo la nane 3. macho ya kurembua naturally 4. M--a--t--a--ko makubwa ya mviringo...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
The Royal Family Prince William to miss seeing Kate Middleton on Christmas Day as he volunteers for RAF duty Prince William will miss out on seeing his fiancée...
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Rafiki yangu mmoja kalalamika sana kisa demu wake kamkimbia ila nilipomhoji kwa makini ni kuwa demu alikuwa anapenda sana kutoa mambo flan ti*O .na jamaa naye alikuwa anapiga mara moja moja lakini...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Man faces charges after love rival freezes to death in Russia's far east Victim was locked outside in sub-zero weather, after being found courting relative's...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kila mwanamke anapenda aonekane kuwa anavutia kingono, lakini hawapendi kuambiwa umekaa kinyegeenyegeeeeee
0 Reactions
110 Replies
10K Views
Kweli mtu anakuona na anakupenda anakwambia nimekupenda bibie lakini nyie mnakataa kwa nini??wakati kitu unachoombwa ni mapenzi na unouwezo wakusema njoo ujinome lakini mhmm!!utanizungusha au...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Ewe unajiita kidume...!! Unajihisi vipi...hata kama unapotezea....kujua ukweli kwamba mkeo anakuzidi kipato? Unajisikiaje na utafanjaje...pale ambapo kila mnapogombana anakutamkia kauli za...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Ndugu wengi ni watu wa lawama, hawana jema jamani. Hawawezi kukufanyia zuri na zuri utakalowafanyia wewe hawana shukrani nalo. Wengi ni wasiopenda kuona unafanikiwa hata sijui kwanini...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ndio maana wanatembea na mahausi geli, machangudoa, mabaa medi, wanafunzi na kila mtu. wao wakifanya ngono na mtu haimaanishi kuwa ndio wanakupenda.
0 Reactions
54 Replies
7K Views
TABIA MBAYA NDANI YA NDOA Kukerwa na tabia fulani ni kitu cha kawaida katika maisha ya kila mtu. Yapo mambo ambayo yanamkera mtu binfsi kama yeye na mengine hutukera sote. Mambo yafutayo ni...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom