Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Katika Pitapita zangu nimekuta watu wakibishana, ebwana eee acha embe la kibada Kiboko mtu wangu, mmoja akadakia hilo cha mtoto wewe nenda Kahama huko embe la kujidondokea mwanangu ukionja huachi...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Wadau kuna dada humu mie nimetokea kumpenda sana. Si upendo wa agape bali ni ule wa kimapenzi kati ya mwanamme na mwanammke. Kulitaja jina lake naogopa lakini linaanzia na D. Nimechanganyikiwa...
0 Reactions
84 Replies
6K Views
Jamani wapendwa nawasalimu katika jina la Yesu namtafuta mtu anaitwa Kevin Ambrose aliyemuona ampe salamu zangu he likes posting via mobile i missed him a lot. Regards DA
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Napenda nichukue nafasi hii kuwatakia Sikukuu njema wafanyakazi wote wa majumbani. Pia natumia fursa hii kuwashukuru kwa kazi kubwa wanazofanya majumba, kwa maana bila wao familia zetu nyingi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani haka KASICHANA kananikosha ile mbaya kila nikienda sehemu za sitarehe lazima nikatafute NIKATUMIE ndo niijisikie RAHA!! Bila haka KASICHANA sipati usingizi vizuri usiku lazima nikaote,sio...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Wapendwa katika Bwana, Nawasalimuni kwa upendo wa Agape. Nadhani mnajua Jumamosi inayokuja ni Birthday ya Bwana Yesu. Kama kawaida yetu siku hii huwa lazima tuishehereke kwa namna tofauti...
0 Reactions
156 Replies
9K Views
  • Closed
Hallow JF members, I hope this Christmas come to you joyously and softly with the rustle of angels wings with the warm of candle’s glow with the laughter of children and a “Ho, ho ho” I hope it...
0 Reactions
3 Replies
761 Views
Jamani nauliza kwa nini wanawake huwa wanakata tamaa mapema pale anapoona umri wake wa kuolewa unazidi kwenda kama miaka 30 na kuendelea kuliko mwanaume kukata tamaa ya kuoa pale ambopo umri wake...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
huu mwaka bora uishe, sitasahau siku niliyonasa kiunoni kwa masaa tisa nikijamiana na mwanamke. sikujua kuwa ni mke wa mtu hadi aliposema yeye ni mke wa mtu na tukampigia bwanake simu kumjulisha...
0 Reactions
66 Replies
9K Views
Mshikaji wangu mmoja anayeishi Dar ana rafiki yake wa kike wa siku nyingi anayeishi mkoani. Siku chache zilizopita alimuomba amtumie nauli aje Dar kutembea. Jamaa hakufanya ajizi akamtumia kilo 1...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Jamani siwezi taja jina moja moja maana wote ni muhimu kwangu hasa katika kuchangia hoja katika jukwaa la Mapenzi, hapa namwaga Heri Ya Krisimasi, na Kuuaga Mwaka Mkuu kuu na Kuukaribisha mwaka...
0 Reactions
2 Replies
956 Views
Use u r l:A S-heart-2:E IQ kumsaidia huyu mama, hasa wadada wote wa JF mawazo yenu, plse Kuna mama yupo ndani ya ndoa kwa 9 yrs sasa, ana watoto wawili, wa 6yrs na 1yr na 6months, wote boys, Mzee...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
The couple who decided to get married naked in front of 250 guests. Ellie Barton and Phil Hendicott decided to spend their wedding in their birthday suits. The pair of exhibitionist Aussies...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Wakuu habarini zetu,naombeni mawazo yenu wakuu. Demu nilitembea naye TR 3 na TR 4..na yeye siku zake za kuwa mwezini ni tarehe 28. Sasa demu ananiambia hajisikii vizuri .. Ndio nataka kujua kuwa...
0 Reactions
89 Replies
8K Views
Jukwaa la Kimataifa: Field Marshall Naibu: hakuna Jukwaa la Siasa: Rev. Kishoka Naibu: Kiranga Jukwaa la Uchaguzi: Mzee Mwanakijiji Naibu: Superman Jukwaa la Jamii Intelligence: Invisible...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Ndungu zangu, wajukuu, marafiki zangu wakubwa, wadogo zangu, kaka zangu, shemeji zangu na wooote wenye mapenzi mema.....waliopotea na waliopo...Bwana asifiwe sana, asalaam aleikum!!! Naomba...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nimiileta huu nikiamini nitapata msaada ... Nahitaji kujua Beach hotel nzuri na ambazo zina gharama nafuu na huduma nzuri... nina ugeni wa siku 5 toka nchi jirani wakati wa New Year eve...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kuna jamaa hajui kama anaumwa au la!yeye kila amwonapo mwanamke aliyevaa kimini au alie na makalio makubwa basi ni kosa kubwa kwani ni lazima amfate na kuanza kumtongoza! Haijalishi ameshapigwa...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Kapteni mmoja wa ndege MSTAAFU aliekuwa akiendesha shirika moja la ndege la taifa tanzania hivi majuzi wiki mbili zilizopita yamemkuta yaliomkuta MC LEMA pale Gongo la mboto..na hili nimeweka...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari za JF wanandugu. Kwa kawaida ni kitu cha busara kumsalimia SHIKAMOO mtu aliyekuzidi umri. Lakin Je, kama una mpenzi wako amekuzidi umri ni lazima kusema SHIKAMOO? Hasa kwa mabinti ambao wao...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Back
Top Bottom