Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

  • Closed
Tumeona na tumesikia wake zetu ama wa jirani zetu au wanawake wenzetu ama wakilalamika au kuvunja ndoa zao kutokana na wanaume kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana wa kazi. Ukifanya...
0 Reactions
109 Replies
16K Views
Jamani najua kila mtu hapa ana uhusiano na mwenza wake na wengine ndoa kabisa. Hebu tukumbushane siku ya kwanza kabisa unafanya ngono na mwenza wako wa kwanza kabisa hali ilikuwaje kuhusu...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Si vema kufanya tendo la ndoa kabla hujaolewa.....kuna wale ambao hufanya hivyo na wanalazimika kuvaa condom,kuna tetesi kuwa kuna baadhi ya wanaume wenzangu ambao hutoboa condom pale chini halafu...
0 Reactions
178 Replies
12K Views
...hata biblia imesema; "better to live on a corner of the roof than to share a house with a quarrelsome wife." Proverbs 25;24 ...no wonder wenye mioyo midogo wanawafanya 'jabulani!'
0 Reactions
44 Replies
5K Views
akofu wam jimbo la muleba kaskazini amewaasa wanandoa kuacha kucheza na mungu huku akiongea kwa masikitiko amesema ndoa nyingi hivi sasa zinakuwa kama mchezo wa kuigiza..bnaya zaidi jamani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mke wa Rais Zuma Ala Uroda na Mlinzi Wake...
0 Reactions
43 Replies
15K Views
This is what is happening to my life now - nimechoka kabisa kuamka asubuhi sana only to find out that my salary ends kwenye michango ya watu! MICHANGO! Ah Mungu wangu weee... Nchi gani hii kila...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Wanawake ....garbage in garbage out!
0 Reactions
114 Replies
8K Views
SON: Dad, I want to marry. DAD: Who do you have in mind? SON: GrandMa. DAD: Oh boy, that's my mum? SON: But you married mine?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
HAPO wapwa zimetulia hizi by laws!
0 Reactions
25 Replies
2K Views
some friends are really getting pains in their love life.........! some friends are really going through a hell in their love life...! some friends are in trouble......!
0 Reactions
192 Replies
12K Views
Wana-JF najua wikiendi ndio inakaribia ni imani yangu hili nalo lina nafasi yake katika mchakato mzima wa kuitafuna hiyo wikiendi. Ni wazi kila mtu ana utashi na kwa wakati wake anajisikia kupata...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wapendwa natumaini wote mu wazima na mnaisubiria weekend kwa hamu. Ninaomba mnisaidie katika hili. mara nyingi huwa tunapokumbwa na mikasa ya mapenzi hasa tukitendwa na wenzi wetu huwa tunapata...
0 Reactions
70 Replies
7K Views
The sun is set A day now gone Darkness falls, wind blown The worries of yesterday Now forgotten, just for a moment Here with me Not anywhere else Simply now, and today Just...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nasikitika kwanza kuwa pendekezo hili naliweka katika maneno ambayo hayajadailutiwa hata kidogo. Kwa maoni yangu, umefika wakati sasa wa kusema no kwa michango ya harusi, ama fedha au mda. Maoni...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari wanaboard Ninawaomba mnisaidie naona akili yangu siku hizi inasizi. Kuna ule usemi usemao :A way to Man's Heart is through his Stomarch......... mimi siuelewi jamani naomba mnisaidie una...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwanaume ni kama taa muda wowote kukiwa na giza unaiwasha na inawaka hapo hapo na ikimaliza kazi yake inazimika mara moja Mwanamke ni kama pasi ukitaka kunyoosha nguo unaiwasha inachukua muda...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamaa yangu ndio kwanza ameoa, yeye na mkewe wote wanafanya kazi benki, sio ofisi moja. Katika pitapita zake kwenye internet, kakutana na blog ya facebook, kasachiiiiiiiii, hadi kikaeleweka...
0 Reactions
128 Replies
10K Views
Wanakwaya wenzangu embu naombeni tuache kumcheze mungu..hapa jiran kuna kanisa ambalo limekuwa na malumbano ya wanakwaya kuchapana mara kwa mara na hili likifika kwa mchungaji anawaita...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Hapo nilipo nalia sina pa kukimbilia Mke kanikimbia na watoto kachukua Sina pa kusemea dunia imeniinamia Ndugu tusiwatenge wagonjwa wa UKIMWI Nilipokuwa mzima, watu hawakunisema si Rehema si...
0 Reactions
20 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…