Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Je, imeshawahi kukutokea ukakutana na mtu (wa jinsia tofauti) mka click sana kiasi cha kuanza kujiuliza kwa nini hukukutana naye mwanzo kabla ya kuwa/ kukutana na mtu uliye naye sasa? Kama imewahi...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Hili swali ni gumu sana kwa watu wengi ikiwezekana na mimi...yaani yale mambo mengi yaliokuwa yakifanywa na wapendanao sasa watamaniao nao wameamua kuyafanya just kufaulu wanachotaka na kuanza...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hello wanaJF. Nina rafiki wa muda mrefu ambaye amenisaidia sana nilipokuwa kwenye kipindi kigumu maishani - and knows almost everything about me. And we have only and only been friends...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimeipata kutoka rafiki yangu. Kuna cha kujifunza hapo unapokuwa na watoto usijisahau sana kama vile uko honey moon. Watoto hawadanganyiki!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WORDS WOMEN USE FINE This is the word women use to end an argument when they are right and you need to shut up. FIVE MINUTES If she is getting dressed, this is half an hour. Five minutes is...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nasikiliza LEO TENA ya Clouds FM; naona imegeuka kuwa cheaters; Si mchezo! Ni reflection ya tunayojadili hapa kila siku! Inasikitisha sana! Mwanamke ana mumewe lakini pia ana mpenzi nje ambaye...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Haya kazi kwako danganyanyeni muone kazi ...wabaya haoa hao binadamu wenzako sasa kazi kwenu kama mlitamaniana basi mtajua cha mtua huliwa na nani.... kwenu wana jf wanandoa watarajiwa tamuuu...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Nimekuwa naye kwa muda mrefu sasa... Tunaitana marafiki, lakini ki-ukweli; tunajua ni zaidi ya marafiki... tuna-behave kama wapenzi... Lakini imefika wakati, ambapo inabidi nimwache... Ishu ni...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
wivu unaongeza penzi au unabomoa especially pale unapohisi kitu na kuanza kuona wivu bila ya kutafutia uhakika?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamii forum Napenda kuwajulisha kuwa nategemea kufunga harusi mwezi ujao,hivyo mimi nikiwa member wa forum nimeona sio vizuri kuwa kimya bila kuwajulisha wana-jamii. Naomba pia...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Mtu unaenda grocery store lakini unavaa kaa unaenda klabu. Umevaa kimini na unaonesha mpasuo/ mgawanyo (cleavage) wa matiti. Matokeo yake mmenifanya nigeuke huku natembea hadi nikajigonga kwenye...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Wanaume Wanaowasaidia Wake Zao Kazi za Nyumbani Ndoa Zao Hudumu...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Enzi zile ambazo hata mawasiliano ya simu au barua hayakuwa rahisi, ilikuwa haipiti mwezi bila kupokea mgeni kutoka kijijini kwetu na mara nyingi ni ndugu wa mbali na karibu ambao wengi wakija...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Maneno kama mpenzi, asali wa moyo, sweetheart ni maneno yatumiwapo mara kwa mara baina ya watu.Siyo ajabu hata kidogo kusikia marafiki wakiitana "mpenzi".... hasa marafiki wa kike ni kawaida...
0 Reactions
63 Replies
19K Views
Wana Jf naomba kuuliza hivi kuna uhusiano gani wa kunywa pombe tena zile kali kama konyagi,boss,valuu na nyingine jamii ya spirit,nimeona vijana wengi wakidai kuwa baada ya kunywa ukiwa kwenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Last week Companero alilalama kujisikia mnyonge katika kila nyanja. Naomba kui-dedicate poem hii ya Invictus kwake, na kwa yeyote yule anayejisikia mnyonge(pamoja nami) weekend hii . Background...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Week end imeanza...! Kwa wale walio olewa au kuoa wana jeshi mna shauriwa sana, mnapokuwa mmelala majumbani mwenu msikubali kabisa wenza wenu wakalala usingizi fofofo na kuanza kuota, Kwani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni jana tu kanisimulia alianza kwa kumpa safari za kila mara, akamuongezea bonus zake, short cause kwake hazikauki dada akawa haelewi kuna nini. Mwisho wa yote akamtamkia live na akamwambia...
0 Reactions
186 Replies
17K Views
kuzuia matiti yasianguke baada ya kunyonyesha.....????:confused2:
0 Reactions
81 Replies
11K Views
Nina wangu wa ubani kwa miaka lakini naungama kuwa yupo mjomba ananizidi kete. Kukaa nae nataka........., kuachia ngazi nataka........ Vipi wadau?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…