Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Upendo wa kweli! Upendo wakati mwingine hufananishwa na kupanda na kushuka kwa nyuzi joto. Ni ukweli usiopingika kwamba upendo ambao hutokea wakati wa uchumba ni tofauti na ule wa kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Usimpende mtu hadi ukapitiliza na kukufuru; hakikisha unabakisha vinginevyo utageuzwa kuwa mtumwa wa mapenzi, utanyanyaswa, utakosa utulivu na amani moyoni, utashikwa na kijiba cha roho (wivu), na...
0 Reactions
72 Replies
11K Views
Mimi ni mwajiriwa wa benki moja hapa jijini, na mwenzangu pia ni benka. Tulikutana kanisani kwenye ibada za asubuhi, niko busy nikisakasaka mrembo wa kumuoa. Mungu nilimuomba anipe bibie atakaye...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Nakuita wewe chanda, Uliye wangu nyonda Pekee ninakupenda Mimi nakuita hivi; au vile! Ninakuita habiba Uloichomoa miiba Ukantuliza shurba Mimi nakuita hivi; au vile! Nakuita waridi Ewe ua la...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tatizo sugu katika hii mitoko ni baadhi ya wanawake kwenda na ‘kampani’ yao/zao. Utakuta mtu kapewa mwaliko, anaamua kubebana na mashoga zake watatu au wanne, eti wanamsindikiza! Hata kama ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mahaba
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari gani limekuwa kama mganga wa kienyeji!? Kila siku.. lete kuku, lete mayai, lete mbuzi pacha, mara lete vifaranga vya kijani.. kwenda halendi limebakia kuunguruma tu!! Mwisho watu wanaanza...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Obama Adaiwa Kuisaliti Ndoa Yake Vera...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Juzi nilipokuwa na mke wangu baada ya chakula cha usiku, aliniambia nimwandikie nyumba yangu kwa jina lake, na hii nyumba ninayo kabla hatujafunga ndoa, nikamuuliza kwani kuna tatizo gani...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
My wife & I have been married for a couple of years. My wife has some complaints and says she has fallen out of love with me, so she wants to end our marriage. She said that God told her to end...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Jamani hivi siku hizi mwanamke hawi mzuri mpaka ajikirimu?
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Baada ya Kujifungua.... MAMBO YA KUZINGATIA MWANAMKE BAADA YA KUJIFUNGUA MTOTO Wanawake wengi huwa katika wakati mgumu kufahamu ni line wanaweza kurudi kwenye maisha ya kuendelea na tendo la...
0 Reactions
2 Replies
12K Views
Unatafuta ndoa safi asilimia 100? HaipoDISMAS, LYASSA HIVI karibuni nilitembelea mikoa ya Arusha, baadaye Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine nilikutana na baadhi ya watu na kuzungumza kuhusu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
By Vitalis Kimutai An increasing number of older women are seeking higher education, but it comes with a price: Their maids are taking over their homes and their husbands. The number of married...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
you don't have to say am sorry!!!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
5 Replies
995 Views
KATIKA hali isiyo ya kawaida mtandao huu ulishuhudia mwanamke mmoja akilia kwa machungu baada ya kushuhudia mwanandoa wake akibebwa na moja ya mashangingi ya mtaa huo. Dada huyo alikadiria kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
i miss everybody here, i really miss wapwaaz(ORIGINAL NA CHIPOLOPOLO) i really miss my strong pillers i really wish to turn back the hands of time AND GO BACK TO THE ORIGINAL JF i really wish to...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Monday, May 03, 2010 10:09 AM KATIKA hali isiyo ya kawaida mtandao huu ulishuhudia mwanamke mmoja akilia kwa machungu baada ya kushuhudia mwanandoa wake akibebwa na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Sambusa ni tamu bwana, Nyingine hakuna tena, Wa kijiji ninanena, Vingine sijaviona! - sambusa ni tamu bwana, hasa zisizofanana! Ukishaonja sambusa, Vitumbua utasusa Na utatumia mapesa, Uje upate...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Back
Top Bottom