Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nilikuwa na rafiki wa kike (sio mpenzi) wa siku nyingi ambaye nilikuwa namtamani lakini niliheshimu urafiki wetu nikanyamaza kwa miaka mingi. Januari nilikutana naena tukaanza mawasiliano tena...
0 Reactions
79 Replies
7K Views
Mke anaeishi MASAKI akimuagiza mumewe"honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz swty usisahau" Ishu ipo kwa Mke wa TANDALE"Utackia "wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya...
0 Reactions
78 Replies
8K Views
UONGOZI wa Kanisa la Evangelistic Assembles Of God Tanzania Jimbo la Dodoma, limemsimamisha na kumfutia leseni ya huduma ya kiroho nchini mchungaji wake kutokana na kupatikana na hatia ya uzinzi...
0 Reactions
82 Replies
10K Views
Kwa wale ambao wako kwenye ndoa au mahusiano, kuna wakati mwenzi wako anakusimulia kuwa mtu fulani (ama unamfahamu au la) amemchokoza kwa kutaka wawe na mahusiano ya kimapenzi (amemtongoza). Kuna...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
BBC presenter died 'as sex game went wrong': Colleague weeps as he lays a floral tribute Last updated at 10:31 PM on 02nd March 2010 'Lovely guy': Kristian Digby at his home A...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Mjomba Hana Lolote Nina sehemu ya kuishi kwenye mwili, wakati mwingine naishi kwenye hotel inayoitwa damu; kila mmoja ananijua mimi ndiyo naitwa Kirusi mtoto wa UKIMWI, na nilizaliwa kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa Leo hii nimekuja kutoa Mawazo yangu kidogo jinsi ya kuokoa ndoa za watanzania,,, leo hii ndoa si kama wazee wetu walivyokuwa wakipendana kutoka moyoni,.... ndo zao leo hii zimejaa...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
if you could only read her mind, she would say... buy me a rose call me from work open the door for me, what would it hurt? show me you love me by the look in your eyes these are the little...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
Jamani nimepita sehemu nikaulizwa hili swali na sababu sina experience nalo nikaona nililete hapa kweza kupata msaaada wale wanaume wanaotembelewa wanaitwa mashoga je wale wanaume wanaowatembelea...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Stop sexualising children, says David Cameron Conservative leader David Cameron has called for an end to the "inappropriate sexualisation" of children. Parents should be able to complain via...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amini Uwezo Wake tu! Kama kunyesha mvua siku ya harusi yako ni baraka basi hawa maharusi kutakuwa kulikuwa na mafuriko maana maharusi wanafanana, huwa sichoki kutazama hii picha. Watafiti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani hivi kuchora tatoo sehemu za siri ni ujanja ama kuiga utamaduni wa wenzetu,na mtu anasikia raha gani kufanya hivyo tena karibu na goli kabisa...
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Jamani wana jamvi asa mbona sisikii besdei za wana Jamvi tena wakati nikiingia nilikuta watu mnajiandaa kukata keki ya besdei ya Festiledi1 Kulikoni zimekwisha? ama? Makoo yamekauka yanahitaji...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Maharusi wengi (Bi au Bw) huwa wanagundua wamechemka siku ya harusi yao. Mzee mzima unaweza ukakiona kitu kikali , mguu mguu, shingo shingo, mgongo mgongo,,,dimpo dimpoz,,,,,,na ukaanza...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Nipo kwenye daladala, naitazama saa ni saa 6 mchana, siku ya jumamozi wiki iliyopita yaani juzi tu. Nimekosa kiti nawajibika kusimama. Tupo abiria kadhaa mbao tumesimama kiasi ambacho tumebanana...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
In my experience had noticed that majority of women like to say the word,"F*** me ,F*** me" repeatedly during sex.This is monotonous and boring.New words need to be invented to spice up the game.
0 Reactions
202 Replies
20K Views
let me quote one of the member's comment. ... Hehehehe kuna jamaa etu akisha piga ulabu huwa anamtongoza mke wake lol, swali langu... sasa mie na shangaa mtu asipo mtongoza mke wake/ au mme...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
  • Closed
Jana nilikuwa napita karibu na bar fulani,nikasikia wimbo wa Jide wa Wanaume kama mabinti ukanikumbusha mbali.Nikatafakari sana na baadaye nikaja kugundua kuwa Lady Jaydee ameimba kitu cha ukweli...
1 Reactions
57 Replies
7K Views
What pick up line worked or didn't work for you?
0 Reactions
121 Replies
9K Views
Ili mapenzi yanoge, kuna wakati tu utalazimika kufanya kile anachopenda Mwandani wako japo kwa kujikosha. Kuna Kaka mmoja toka Pemba alioa mke huku Bara, Mpemba alianza kunywa pombe lakini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…