Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jana katika pitapita nikakutana na hii Hii ni mashine ya kununulia condom...kinachofanyika unaweka hela kama Tsh 100 hivi kwa juu kuna kitobo cha kuingizia pesa unazungusha kitufe fulani halafu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Sina uhakika kama hili lilishajadiliwa hapa? Ila ningependa kupata maoni ya wadau hapa JF. Niekuwa nikijiuliza mara kwa mara, Mwanamke anawezakuwa anapata Shs. Mil 5 kwa mwezi, Mwanaume Shs. Mil...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea. Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Wakuu naomba mnichangie mawazo ya kumpatia ushauri muafaka rafiki yangu. Ni hivi, kuna jamaa ni rafiki yangu wa karibu sana (almost ndugu). Tumesaidiana kwa mambo mengi na kwa muda mrefu sana. Kwa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Wazee wenyewe, katika stori wengi tunaamini kwamba ukimfumania mtu anachukua mali zako nguvu zinamwishia. Hata kama ni Sylvester Stallone (Rambo) unaweza kumkaba koo na ukampa vibao vya kutosha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
The jumbo jet is just coming into Pearson Airport (Toronto) on its final approach. The pilot comes on over the intercom. "This is Capt Johnson. We're on our final descent into Toronto. I want to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sasa umeolewa na una mme unayesema unampenda. Tumekutana baada ya miaka hii yote. Tulikuwa marafiki wa karibu hadi watu "walidhania". Sasa tumekutana unanilaumu.. kwanini sikukuomba moyo wako...
0 Reactions
71 Replies
6K Views
ni ndoa chache zenye uwezo wa kuishi bila mitafaruku ya ajabu katika kipindi chote cha kuwa wawili. vipindi vya mapenzi na uchumba huwa tofauti na kipindi cha kuwa ndani ya ndoa. watu husema mengi...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
A wife said desperately to her husband: Hello Honey!! Where are u??" The Husband answered confidently: "What!! Where am I???... In the office of course!!" Wife: "Are you sure you are at...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jana usiku nilikuwa nasikiliza radio free afrika (RAF) kipindi cha tiba mbadala kinachoendeshwa na mtu anayejiita Dr. Isaac Ndode. Katika maelezo yake huyu bwana akadai kuwa mwanaume anapofanya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna dada mmoja tumetokea kuzoena kiasi cha kuwa na relationship. Kabla ya kumegana, katika kuandikiana sms nikamwambia nitakupitia jioni ukanionjeshe. Dada wa watu alinimind sana akasema...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Haiti in my heart...... Black Stars on my mind....... And my family and friends above them all!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
UMUHIMU WA KITCHEN PARTIES NI KWA MABINTI TU? Ndugu zangu kwa muda sasa nimekuwa ninajiuliza. Hivi hizi Kitchen parties wanazofanyiwa mabinti siku chache kabla ya kuolewa zinawasaidia kweli hao...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hivi karibuni tulikutana na Mtaalamu mmoja kutoka Cuba. Alitueleza kwamba huko kwao VVU na Ukimwi siyo tatizo kwa sababu mfumo wao afya unafuatilia kila mtu na kama kuna mgonjwa anashughulikiwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
When a man steals your wife, there is no better revenge than to let him keep her. Lee Majors After marriage, husband and wife become two sides of a coin; they just can't face each other, but...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
MDOLI wa kwanza mkubwa wa kike na wenye umbo kamili kama la binadamu (robot) unaojulikana kama “rafiki wa kike” umezinduliwa nchini Marekani ambao ni bora zaidi kuliko iliyowahi kutengenezwa huko...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Kitendawili? Siwaoni, siwasikii, siwafahamu ila tuko beneti???
0 Reactions
46 Replies
4K Views
No Matter how life treat you bad just walk urself heads high!!!!!!!!!!!!!!!!! http://localislekker.files.wordpress.com
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hamjambo ndugu zanguni za JF?? za masiku kaka na dada zangu??? Niliwamiss kweli katika kipindi hiki kifupi ambacho sikuweza kuwa jamvini kwa sababu za ugonjwa. Lakini nimerudi mzima wa afya kwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
The perils of young Egyptians' secret marriages Young couples are trying to find ways around Egypt's conservative attitudes to sex before marriage By Yolande Knell BBC News, Cairo In...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…