Wanajamii kwa mtazamo wangu nimeona kuwa mapenzi kwa sasa yanachanganya sana kiasi kwamba mtu ukifikiria sana unaweza kuibuka na uamuzi kuwa ni bora usijiingize kabisa kwenye huo ulimwengu wa...
Je, ni Sababu ya Msingi?
Swali:
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 29 nilioa ndoa takatifu kanisani miaka miwili iliyopita na tumekuwa na wakati mgumu sana (migogoro) na mke wangu.
Ni miezi sita...
Wana JF,
Kuna hii kitu nataka kushea na nyie.
Watu wote waliooa, waumini wa dini zote wanakutana na rabsha na matatizo mbalimbali katika maisha yao ya ndoa, na matatizo mengine hufikia hatua...
Marafiki, wasomi, wana jamii wenzangu na hata wapenzi wangu, leo ni World tell me day, hivyo basi naomba mniambie kila kitu, iwe siri au mambo ya kawaida. Yote nitayaweka moyoni (in confidence)...
Adha ya mvua jijini imenifanya nimkimbize wifi/shemeji yenu uswazi maana nimeona jamaa wanao toa msaada wa kumvusha kwenye madibwi kama wanafaidi hivi. Bora nimsogeze mjini tu.
Hapa jamaa akiwa...
Mamboz!
Nimepata stori kutoka kwa jamaa zangu wawili tofauti kwa muda tofauti.
Mmoja anasema Girl Friend wake analalamika kua kondom inamsababishia kuwashwa sehem za siri.
Wa pili anasema...
Jamani, kutokana na ushuhuda mwingi ambayo nimesikia toka kwa watumishi wa Mungu, nawashauri akina baba wenye watoto wafanye DNA test za watoto wao, hasa kama watoto kama hawafanani kabisa na baba...
Amani kwenu wadau!
hivi hii imetulia kweli?, Kama ikitokea mwanaume ameenda nje ya ndoa ishu inaonekana ni simple tofauti na mwanamke akitoka nje ya ndoa! Naomba mnisaidie kwanini mwanamke akikosa...
Wana-JF, Heshima mbele!
Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????
Is it scientifically proved? Je wasiokunywa...
Jamani napenda kuwashukuru sana tena sana wale woooooooooooooote tuliokutana fraideiiiiiiiiiiii,ilikuwa pouwa kufahamiana na kubadilishana mawazo mazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,yale malengo plz...
jamani sinahakika kama limejadiliwa hapa.
Ni hivi mwaka jana nilibaatika kuwa na wanawake 3 kwa nyakati tofauti nilipoanzana na wakwanza baada ya miezi 6 akaanza kuniambia anahisi nimjamzito...
asubuhi tu nimesikia habari moja redioni. dada kaolewa tatizo likawa kupata mtoto. mwisho wa siku ikajulikana mwanamke ndiye mweye tatizo. bahati nzuri mwanaume alikuwa mwelewa, akamchukulia poa...
Wadau,
Mara nyingi watu wanaosafiri sana (hasa watumishi wa taasisi za umma) hupenda kufikia hoteli fulani na kuzoeleka vizuri tu na wenyeji; nimejiuliza sana kuhusu tabia zetu tunapokuwa...
Nimekuwa nikifikiria hii dhana ambayo nimegundua ipo sana na kwa watu wengi kuwa inapotokea mwanamke au msichana akawa anamegwa sana mtaani kwao au maeneo anayoishi huonekana ni malaya, kicheche...
HOT SISTER IN LAW
True story, I was happy. My girlfriend and I had been dating for over a year, and so we decided to get married. My parents helped us in every way, my friends encouraged me...
Jamani naomba anayejua mtu huyu alipo anisaidie kumpata. Anaitwa Mr Carlos Sendwa, alisoma PCB sekondari ya Pugu STream G 1980-82. Wakati huo mimi nilikuwa PCB stream F, mwenyeji wa Mbeya. Wazazi...
Well.. sijaelewa kwanini watu baada ya kupoteana hasa walioachana katika mazingira mazuri hujikuta wanatumia kisingizio cha "kukumbushia". Cha kushangaza mmoja wao au wote wawili wanaweza kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.