Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

jamani wanandoa;ma dk tusaidiane kwa hili tangu mke wangu ashike mimba amekuwa akitema sana mate tangu na mie nijue hili kila saa natema mate nimepima minyoo mara 30 hakuna;kwenye hasira usipime...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani...
0 Reactions
90 Replies
11K Views
Juzijuzi pale Mlimani city nilikuwa na washkaji wawili,mshkaji mmoja alimuona binti mzuri,mzuri saana yaani mweupeeee ngozi haijakwaruzwa hata kidogo,figure imeenda shule mtembeo wake unaleta raha...
0 Reactions
201 Replies
17K Views
wapo wanaootaabika kwenye ndoa bila kujua tatizo nini wapo wanaofikiri waume zao wamelogwa na wachawi jinsi walivyooana na jinso maisha wanavyoishi sasa ni tofauti kabisa,wapo wenye akili zao...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Chonde choNDE chonde first lady mnaomba hiyo nafasi ya first man kama iko wazi
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani hapa ndani pamepooza sana leo kulikoni mabinanu ?? mna mikasa imewakumba weekend mbona hivi???
0 Reactions
177 Replies
12K Views
New Year's resolution: Have more sex By Elizabeth Cohen, CNN Senior Medical Correspondent January 7, 2010 8:46 a.m. EST Sadie Nardini and her husband decided to have sex every day in December...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
A proposed anti-gay law could make Uganda perhaps the most dangerous place for homosexuals and drive the gays of Uganda further underground. In a rare interview, the first of its kind with a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo ni siku ya wanawake wasio na bikira duniani;kauli mbiu ni "JUTIA BIKIRA YAKO" uliyoipoteza muheshimu sana alieitoa na umkumbuke kama mlishaachana'kwanza amekufanya mkubwa na amekusaidia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kuwa na uhusiano na housegal/huseboy/shemejio/ ni tamaa/mapenzi/ukosefu wa maadili au?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hakika tunampenda sana binti yetu wa miaka mitatu(3). Karibia kila mtu akimuona ana msifie kuwa ni binti mzuri sanaaa wa sura (cutie) . Kwa kuwa rafiki yangu mmoja aliwahi kulieleza madhara ya...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Jamani jamani hali ni mbaya! Kuna jamaa ana mpenzi wake ambaye anadai wanapendana sana! Kuna kipindi walitaka kuoana na alipotaka kumtambulisha nyumbani kwao mama mzazi wa kijana alipinga na...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Wapendwa, Nipo kwenye serious mahusiano na kwa mapenzi ya Mungu tunaweza kufunga ndoa. Tatizo nina wivu kupita maelezo, yaani saa zote nahisi kuibiwa...kwa mfano kuna siku nilikuta amempa lift...
0 Reactions
285 Replies
22K Views
  • Closed
Zamani walisema watu wa mashariki ya kati wamekubuhu kwa mchezo huo wa mapepo. Sasa watu wa magharibi wameruhusu hadi ndoa za jinsia moja. Dini za mashariki ya kati zinajulikana, na zile magharibi...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Kwa muda mrefu nimechunguza sana juu ya uhusiano wa MAVAZI na MAPENZI(LOVE).Nimegundua wapendanao wengi wa kiume na kike hupenda sana kuvaa mavazi yanaleta mvuto kwa namna moja au nyingine,na hili...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nyamayao naomba unisamehe but nimepata wazo toka kwenye post yako moja- Je wapwa mnasemaje juu ya adhabu ya kunyimwa gemu!! Hapana tusiite adhabu bali kwa mfano umembore/umemkosea mwenza mf...
0 Reactions
104 Replies
9K Views
...Low self-esteem! ...Katika maisha ya mapenzi na ndoa mjihadhari sana na masimango ambayo yatampelekea mtu ajione kumbe yeye si lolote si chochote kwako. ...mtu aliye suffer low-self esteem...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekuwa kwenye relationship ya up and down na nimeteswa kinoma. Tumezaa mtoto na huyu mwanamume lakini alivyosikia mi mja mzito akaanza kuwatongoza wanawake wengine na nikasikia anafunga ndoa...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari jamani, Kuna jambo moja binafsi linanisumbua akili yangu saana, Kwa uchunguzi wangu mdogo nimegundua kuwa Maeneo ya pwani, namaanisha Tanga, Dar, Mombasa, Kuna tabia ambayo siyo nzuri...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Rihanna and her new boyfriend. Rihanna and Matt Kemp: Rockin' the Boat
0 Reactions
79 Replies
9K Views
Back
Top Bottom