Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Huku mkoa wa Lindi na Mtwara tunatarajia kuvuna mbaazi nyingi sana, je kuna mtu anajua bei ya Mbaazi kwa mwakahuu? Au matarajio ya soko litakuwa vipi? Mwaka jana najua soko liliyumba kidongo...
0 Reactions
50 Replies
13K Views
Udalali wa ardhi na majengo unahusisha huduma za kitaalamu zinazotolewa na madalali katika shughuli za kuuza, kununua, au kukodisha ardhi na majengo. Hapa kuna muhtasari wa masuala muhimu katika...
1 Reactions
2 Replies
495 Views
• Direction: Maduka Mawili • Condition: Ya kuhamia • Rent: TZS milioni 2/mwezi • Terms: Miezi 6 au mwaka • Security deposite: TZS milioni 2 (ilipwe mwanzo wa mkataba. Itarejeshwa mwisho wa...
2 Reactions
4 Replies
394 Views
Nataka YELLOW BEANS gunia 40 Kila wiki naweza kujia Arusha ama Moshi. Nope Bei ya gunia.
0 Reactions
0 Replies
108 Views
Habari, Moja ya maeneo yangu ya ushauri na utendaji kama ushauri na usaidizi ni katika kuchanganua mawazo ya uanzishashwaji miradi ya kiuchumi na kijamii pia uendelezaji wake. Na katika hayo...
0 Reactions
1 Replies
270 Views
Tunafunga CCTV camera Kwny Nyumba,maduka,biashara,ofisi,kiwanda,HOTELINI NK... Pia TUNAFUNGA ktk nyumba za mifugo kwa ajili ya kufatilia Hali Yao na hata ukiwa umesafiri mbali utaona vyote kupitia...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
Usiogope Kuhusu Gharama Wala Ukubwa Wa Shamba. Farmside Company Tupo Kwaajili yako. Baada ya kukamilisha kufunga mfumo wa drip, mapema mteja amepanda Miche ya Mboga Mboga Aina tofauti tofauti...
0 Reactions
3 Replies
734 Views
Sony Experia 8 Rom 64 GB PRICE 180
0 Reactions
6 Replies
252 Views
Bei ya Hisense smart tv 32" - 380,000 40" - 580,000 43"- 650,000 50" - 899,000 55"- 1000,000 58"- 1,200,000 Warranty mwaka mmoja (miezi 12) Tv mpya dukani karibuni, location Mwenge. WhatsApp...
1 Reactions
4 Replies
823 Views
Habari, kama wewe ni android developer na una account ya google console ambayo umeifungua kabla ya mwaka 2023. Nina uhitaji wa google console account / play store developer account. Njoo pm please
0 Reactions
7 Replies
478 Views
Milioni 3.5. iko katika hali nzuri sana
4 Reactions
11 Replies
425 Views
Kama kichwa kinavyojieleza, natafuta Banda la kununua Moshi mjini..Banda la bati linalohamishaika.....Mwenye nalo anicheki hata inbox
1 Reactions
0 Replies
158 Views
FOR RENT CHUMBA MASTA NA SEBULE : TSHS 150,000/= MAHALI: Mbezi beach TANGIBOVU. CALL : 0679268006. ○ Tailizi, Gipsam. ○ Umbali kutembea ○ Ndani ya fensi, Maji ndani. ○ Umeme submita
0 Reactions
0 Replies
274 Views
Tupo Moshi tunatengeneza website kwa bei nzuri ila tawi letu lipo Arusha City,. Nandipo tulipoanzia . inbox me if unahitaji Logo nzuri za kisasa ,websites nzuri ambazo zimeundwa kwa miundo ya...
0 Reactions
4 Replies
189 Views
Pikipiki honda ace 125, Individual inauzwa 2,100,000 shilingi za kitanzania. Pikipiki inasoma kilometa 600 mpaka sasa,ina kadi yake.
1 Reactions
5 Replies
688 Views
Habari, Wana jf Mwenye anajua wapi frame inapatikana anijulishe. 0657380484
1 Reactions
6 Replies
344 Views
Habari zenu ndugu zangu! Natafuta mnunuaji wa maharage ya njano gololi na combart! Anayehitaji tuwasiliane kwa mawasiliano: 0672473087
1 Reactions
7 Replies
500 Views
Hello wanajukwaa, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi. Mimi...
11 Reactions
142 Replies
17K Views
Nyumba iko Chanika, Talian. Ina vyumba vitatu tayari vimesimama, sebule na dining bado. Msingi umeinuliwa wote. Karibu bei ni kitongq inaanzia milion 10 tu. Mwenyewe anarudisha gharama tu za...
2 Reactions
9 Replies
432 Views
FOR RENT - CHUMBA MASTA NA SEBULE - TSHS 150,000/= Mbezi Beach GOIGI. CALL 0679268006 ○ Tailizi, Gipsam. ○ Umbali kutembea ○ Ndani ya fensi, Maji ndani. ○ Umeme submita
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Back
Top Bottom