Wale wenye new baby born kids au mnaotarajia, njooni mchukue kwa ajiri ya mtoto wenu.
viko viwili (2)
kila kimoja ni 140k + godoro
bei ni fixed wakuu
0697224996
SOLD OUT....!
KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA KIVULE KARIBU NA SHULE YA SEKONDARI KEREZANGE
SIZE : 40 METERS X 40 METERS
PRICE : 25 MILLIONS
CONTACT : 0712 36 33 58.
ALL SERVICES AVAILABLE
HAKUNA...
Ongezeka Trading Co limited
Tunakuletea Howo tipper lenye hp 380 kwa Tzsh mil 130 pamoja na ushuru,
Kwa wale wanaohitaji kulipia kwa njia ya installments maelewano yapo.
Pia unaweza kuagiza...
Habari wana jamii forum
Natumai mu wazima
Tafadhali naomba kuuliza mwenye chimbo la mifuko ya 20kg /25kg kama ya azania/azam ambayo inakua rejected lakini mizima ambayo haijatoboka inawezakua...
Habari wanajamvi
Naombeni msaada kuna mdada wa kazi nlikua naishi nae hapa nyumbani ametoroka usiku,na kaondoka na begi la ndugu yangu
Katokea ifakara kyelekea morogoro mjini
Habari wadau.
Natafuta kiwanja maeneo ya Kitunda Kivule mpaka maeneo ya Msongola.
Bajeti yangu ni milioni 5.
Ukubwa wa Kiwanja kisipungue sqm 300. Kama kikiwa kikubwa zaidi nitashukuru.
Kama...
Maisha ni nyumba guys, na kabla ujenge lazima uwe na kiwanja. Hata usipoishi huko we jenga pangisha na uwe urithi kwa watoto baadaye.
Ft. 60x50, kipo mbande, mwenyewe anashida anamgonjwa so...
Wakuu kwema?
Msaada kwenye tuta, nimepata ajira posta, nahitaji room yenye choo kwa 100k na sehem ambayo ni rahisi kufikika na kwenda kazi, kama gari nikipanda moja linatosha.kuwe na maji ya...
Ni zaidi ya ofa.
Brand Name: Hp ProBook 640 G1
Generation type: 4th generation
Storage: HDD 500gb
RAM 8gb (1 out of 2 slots)
Processor : Intel(R) Core(TM) i5-4210M CPU @ 2.50GHz (4 CPUS)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.