1)Nishaifanyia usajili ishapata namba zake
2)Ni used Toka denmark,na nishaifanyia service
3)Ni 2 stroke...cc 50...
Naiuza 2,500,000/ ni yangu mwenyewe kwa anayependezewa Piga simu 0715591141...
Tunapangisha office/Stoo kwa ajili ya kuhifadhi bidhaa za maonyesho ya sabasaba.
Zipo jirani na uwanja wa maonyesho sabasaba na ulinzi wa mali zako upo.
kwa mawasiliano.
Agiza kutoka China bidhaa mbalimbali ( machines, screens, laptops, phones, vifaa vya electronics nk)
kwa bei nafuu, uhakika na ndani ya mda mchache,
tufollow instagram @agiza_china
Kwa mawasiliano...
KARIBUNI MJIPATIE RAMANI BORA KATIKA MFUMO WA PAA LISILOONEKANA AMBAPO UTAPUNGUZA GHARAMA ZA UJENZI KATIKA KIWANGO CHA HALI YA JUU SANA
UNAWEZA KUONA BAADHI YA KAZI ZANGU...
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Tunatoa ushauri wa ujenzi nk.
Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako.
karibu sana.
0654919121
0658919121
Nimerudi tena wana JF kwenye jukwaa letu pendwa, baada ya kupost uzi wangu Mayai ya kienyeji (fresh) kwa afya nilipata watu wengi sana ambao mpaka leo wanatumia mayai fresh ya kienyeji kutoka...
Wakulima wengi kwa sasa wanavuna ufuta mashambani, soko zuri la ufuta bado ni changamoto kwa wakulima wengi wa mkoa wa Pwani. Naomba michango yenu, wapi na ni nani ananunua ufuta na kwa bei gani...
Zimetumika hpa hapa mjini sababu ya kuuza ni gari inatarajia kusafir masafa marefu unaenda Kenya then Uganda ndio maana zimevuliwa zipo moroko airtel kama zinavyoo onekana hapo ziko poa sana...
Tukiwa kwenye mkakati wa kuifanya brand ya "made in tanzania" kuwa ya kipekee kampuni yetu ya if you know you know inakuletea bidhaa mbali mbali kama tshirt, pen, band, wallet, na keyholder kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.