Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
ina 20k na zaidi njoo pm
0 Reactions
1 Replies
435 Views
Habari wadau kwa wakazi wa Mwanza, Kiwanja kinauzwa kuna nyumba ambayo haijaisha ambayo inahitaji tofali 800 kufunga lenta ina vyumba 3 pamoja na master bed room maji yapo karibu pamoja na umeme...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Used laptop inauzwa, imetumika miezi michache na ina tatizo kwenye kioo. Kioo kilipata hitilafu, kitu cha ncha kali kiligonga. Napatikana Dar, mawasiliano WhatsApp
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za Jioni; Napenda kuchukua fursa hii kuwaalika watu wote wanaopenda kujifunza kutumia fursa zinazoletwa na tehama ili waweze kupata mafunzo maalum ya Ujasiriamali wa Kidijitali (Digital...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Habari wakuu, Natafuta duka au mtu amabe anaweza kuniuzia hii dawa ya Snow foam kwa ajili ya kuoshea magari. Nilikuwa nanunua pale karcher lakini hawana tena na kila nkiwapigia simu wananambia...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Wadau, nahitaji watoto wa nguruwe mbegu nzuri ya mda mfupi, wapi naweza kuwapata kwa hapa Dar?
0 Reactions
2 Replies
898 Views
Wakuu habari! Jamani kama kuna mfanyabiashara yoyote aliyepo Dodoma mjini anaenunua mchele kwa bei ya jumla naomba ani_inbox. Bei 1,700/kg Kuna gunia 200+ za mpunga tunakoboa kwa oda. Aina ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello Natafuta wafugaji wa kuku wa kisasa,kwa mwenye uwezo wa kufuga kuanzia kuku 5000 maeneo ya Dar.Tukielewana tufanye biashara. PM kwa aliye interested. Asante
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Nyumba iwe na 4 to 5 bedrooms Swimming pool is an advantage Big yard Potential Area Budget ranges from Tsh:400m to 600m Owners only Possible viewing mid of July Locations: Dar na Tanga only...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini wa Dsm mimi nikijana nipo nje ya dar es salaam ila natamani kufanya biashara dar es salaam lakin katika maeneo ambayo siyo ya watu wenye uwezo wa juu ila nataka katika maeneo ambayo kuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fundi urembo wa nyumba napatikana dar Es salam ila popote pare ukiniitaji nafika kwa kazi zaidi na nyumba yake iwe na muonekano wa kisasa zaidi namba 0784142034
2 Reactions
6 Replies
6K Views
Tupo Dar es Salaam. Tunafanya delivery. Dsm tunakuletea ulipo, Mikoani pia tunatuma. Karibuni Kwa mahitaji, piga 0658106021
0 Reactions
2 Replies
6K Views
.
0 Reactions
2 Replies
534 Views
BODY UNDER RIGHT NUTRITION (B. U. R. N) ONDOKANA NA TATIZO LA 1. Unene na uzito kupindukia 2.vitambi Kwa akina Baba 3.Tumbo Kwa akina mama 4.Manyama uzembe 5.kutoa mafuta mabaya mwilini...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nipo Dsm natafuta ukumbi unaoweza kuingia watu 100, au Bar/Restaurants iliyofungwa ambayo inaweza ikakodishwa kwa Dsm maeneo ya sinza,mbagala, n.k tafadhari tuwasiliane nami.. PM
0 Reactions
1 Replies
616 Views
kwa wale wanaohitaji kuandikiwa memorandums za kufungulia kampuni na assitance yoyote kwenye kufungua kampuni,Kutengeneza Companies' Profile, Companies' Objectives n.k kwa gharama nafuu kabisa...
1 Reactions
0 Replies
664 Views
Nipo Dsm natafuta ukumbi unaoweza kuingia watu 100, au Bar/Restaurants iliyofungwa ambayo inaweza ikakodishwa kwa Dsm maeneo ya sinza,mbagala, n.k tafadhari tuwasiliane nami 0625568600
0 Reactions
1 Replies
402 Views
Back
Top Bottom