Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
SPECIFICATIONS: HARD DISK : 500GB RAM : 4GB PROCESSOR : 1.60GHZ BATTERY: INAKAA NA CHARGE MASAA 4 COLOR - BLACK BEI TSHS: 440,000/= MAZUNGUMZO YAPO LOCATION : KIJICHI DAR ES SALAAM...
0 Reactions
1 Replies
495 Views
Ndugu zangu Tunsifu Yesu Kristu, Bwana Yesu asifiwe, Asalaam Aleykum, habari zenu nyote, narafuta ukumbi wa kukodisha unaoweza kubeba watu 100-200 uwe na mazingira mazuri ya kujisitiri (vyoo), pia...
0 Reactions
4 Replies
876 Views
Wakuu anayeuza external keyboard yenye USB tuwasiliane..
1 Reactions
6 Replies
793 Views
*LIVINGSTONE HOTEL* Kwa Mahitaji yako ya Hotel Nzuri yenye hadhi ya Kimataifa ndani ya *Bagamoyo* Karibu *Livingstone Hotel* Ukutane huduma bora za Kihotel kutoka kwa staffs wetu wenye *Weledi*...
0 Reactions
1 Replies
586 Views
*LIVINGSTONE HOTEL* Kwa Mahitaji yako ya Hotel Nzuri yenye hadhi ya Kimataifa ndani ya *Bagamoyo* Karibu *Livingstone Hotel* Ukutane huduma bora za Kihotel kutoka kwa staffs wetu wenye *Weledi*...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Brick tiles ni kama tofali zilizochomwa, ila hizi ni nyembamba ambazo zina mwonekano mzuri na mvuto wa aina yake, zinafaa kunakshi kuta za tv, scatting na kwengineko utakapo ona inafaa ukutani...
1 Reactions
9 Replies
10K Views
Wadau habari za jioni nahitaji kununua blender kwa matumizi madogo madogo tu ya kigheto maana naishi mwenyewe,nilikuwa nahitaji kampuni gani ni nzuri ambayo bei yake aizidi elfu 70
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Heshima kwenu wanajamiiforums. Mimi ni kijana wa kiume, mkazi wa Mbezi Beach B. Ninakuja kwenu kuwatangazia huduma ya kufundisha wanafunzi wa ngazi ya msingi na sekondari masomo ya ziada...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu salaam, Kifaa tajwa hapo juu kiko sokoni kwa bei ya laki 2 tu. Kinapatikana Dodoma. Ni fridge nzima na haina dosari yoyote, sababu ya kuuza ni dharura tu ya pesa. Nipigie simu kwa 0687...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana JF kuna mzigo ninataka kulipia Kenya. Sasa kuna rafiki yangu ameniambia kuna baadhi ya wafanyabiashara wapo hapa Dar es salaam wana line za Safaricom na huwa wanafanya hii biashara Yaani wewe...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za Majukumu wana Jukwaa. Naomba kwa yeyote anaye jua Wanunuzi wazuri wa Korosho Kwa Dar es Salaam, Pwani au Morogoro. Naomba kufahamishwa, ninao mzigo wa kutosha mahitaji mnunuzi serious...
0 Reactions
2 Replies
949 Views
Habari zenu wakuu,naomba mwenye kujua bei za mashine zifutazo anifahamishe na mahali zinakopayikana na za kumenya mpunga SB 30 SB 50 Bei yake kwa tz wadau WhatsApp no +255789139153
0 Reactions
0 Replies
1K Views
.
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu Uzi huu ni maalumu kwa watu wanaotaka kununua vitu nje ya nchi na wanashindwa jinsi ya kuvipata kwa wakati au kuogopa upotevu wa bidhaa yako. Ninakurahisishia kwa kukupa address...
0 Reactions
5 Replies
899 Views
Wapi naweza pata toners za hp (compatibles) za bei rahisi kwa Dar es salaam , au watu wa ku refill lakini waweze kufanya packaging nzuri Comment hapa au inbox. Thanks
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Mwenye kuweza kunisaidia tafadhar
0 Reactions
5 Replies
984 Views
Habari za weekend wadau, nauza madini ya Quartz, 180000/- kwa kilo. Ni PM kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
22 Replies
12K Views
Nahitaji Tecno L8 iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo anicheki 0744885000
0 Reactions
8 Replies
934 Views
Habari, Nahitaji mashine used ya kufyatulia tofali ya Bambam ya Inchi 5 na vibao vyake. Budget ni laki 1 (Negotiable). Nipm kama unayo
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Samsung 32 inch flat screen ex dubai on sale @ Kshs. 17,000/= Inbox for more information.
0 Reactions
8 Replies
890 Views
Back
Top Bottom