Naomba kujulishwa kwa Dar naweza kupata wapi hivi vifaa vinavyotumika kwenye restaurants kuhifadhi joto la chakula (food warmers). Nataka inayotumia gas na inayotumia umeme.
LG 49" LED TV Full HD
MODEL
EU Series LH510V
Screen Size 49
VESA
Vesa Size 300x300
DIMENSIONS - WXHXD (MM)
Size W/O Carton, W/O Stand (Including SOUND BAR) 1108*657*81.5
Size W/O Carton, With...
Samsung Galaxy s6 inauzwa bei hiyo hapo juu.
Samsung galaxy s6 imeumbwa kwa body ya glass mbele na nyuma pembeni aluminium, sasa imedondoka na kuvunja kioo cha nyuma, kwa hiyo ninauza ili...
Habari wakuu?. Poleni kwa kuwa off-air kwa hizi wiki 3, kiukweli maisha yalikuwa magum bila JF.
Ok shida yangu ni kuuliza wapi nitapata mashine ya kutotoresha vifaranga yaan 'incubator'. Nahitaji...
Wadau wa JF naombeni mnisaidie nijue bei za Simtank za ujazo wa litre mbali mbali.
Sana sana natamani kujua bei ya Simtank la litre 5000 (elfu 5).
Nitashukuru sana[emoji120]
Habari wapendwa nauza fb page yangu ina watu 21k (zaidi ya watu elfu ishirini na.moja)
Karibuni sana jamani nauzia shida tuu nimepatwa na shida mnoo
Karibuni wapendwa
Ukihitaji njoo pm
Nauza karanga mkoani tunatuma,kwa aliyeko dar mzigo ukifika ndipo atalipia,kwa mikoa mingine tunatuma kwanza hela ndio tunakutumia ,WhatsApp;+255789139153
Tanzania Private Investigation Agency (Now changed to T.P.S.C ) is a licensed firm. We provide adequate investigative services from government case work to private investigations. Our staff have...
Natumaini ni wazima,,
Nauza bajaji iko mbeya mjini, iko katika hali nzuri haidaiwi chochote na watu wala mamlaka yoyote na haijapigwa rangi.
Sababu ya kuamuwa kuiuza ni usumbufu na karaha za...
Habari wana jamvi! Kama kichwa cha habari kilivyo gusia,
1.Wapi naweza kununua fataki kwa Dsm!? Vipi kuhusu gharama zake?
2. Kuna kibali au taratibu inayo takiwa kufwatwa kabla ya kutumia fataki?
Wataalamu wa techs najua mtanisaidia katika hili,natafuta smartphone iliyo na sifa zifuatazo
1. Memory kuanzia 16 Gb
2. Iwe na quality camera
Bajeti yangu ni 300,000-400,000 Tsh
Ushauri wenu ni wa...
Habari wakuu
kama uzi unavojieleza, ninatafuta chumba cha kupanga hapa maeneo ya kilwa masoko - Lindi. yeyote mwenye taarifa au mwenye nacho naomba tuwasiliane kupitia 0765-784765
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.