Habari zenu wakuu.
Naitaji kupata sehemu kwaajili ya kufungua biashara ya chips Iliyo changamka. Maeneo ni mwenge kawe tangbovu mpaka tegeta.. Tuwasiliane 0759657178
Habari wanajamvi, ni wapi ndani ya Dar es salaam nitapata desktop computer mpya kwa bei ya 800k hadi 900k, processor i3 au duo core, ram 4gb na hdd 500gb brand ni Dell au Hp
Ndugu mwenye ndoto ya mafanikio, habari..! Dream Softcopy Books ni wakufunzi na waandishi wa vitabu vinavyohusu ujasiriamali na mpangilio bora wa maisha. Leo tumekuandalia kitabu chenye masomo...
Habari wakuu sisi www.one2onefocus.com tunahusika na ujenzi wa garama nafuu kabisa kwa shil mil 32 tutakujengea nyumba ya Vyumba viwil sebule dining public toilet na jiko la kisasa tunatumoa...
Habari zenu wakuu.wale wote Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji hasa cha kutumia drip line system.katika kilimo cha mazao ya Muda mfupi Karibuni Sana hapa.kama una wazo la kutuelimisha zaidi kwa...
Bidhaa nimetumika miaka miwili na mwanafunzi. Zipo dar es salaam magari saba karibu na chuo cha St. Joseph
1.Kapeti
2.meza
3.sofa set
Bei ya 400,000/=
Serios buyer
Piga 0718363214
Wakuu poleni na majukumu,
Nahitaji kupata huduma ya kutotolesha mayai ya kuku kwa kutumia mashine tajwa hapo, Kwa anaemiliki na kutoa huduma hiyo jijini Dodoma, naomba ajitokeze tafadhali ataje...
Excellent Training Center, tumeanza maandalizi ya kuandikisha wanafunzi wa programs ya Pre Form I 2018.
Wanafunzishwa masomo ya Science na Kusoma French Bure kwa kipindi chote cha miezi mitatu...
Habari,
Natafuta Youtube adsense verified account nina Tsh 50000 isiwe disabled kwenye youtube monetization, nipo Dar na ni lazima tureview account kabla ya kulipia ili kujua kama ina kasoro...
naitaji smartphone mdogo wenu apa nna laki moja nikipata Samsung au TECNO lkn sio y 3 au 4 ntafurahi zaidi na kama ina tatzo nambie lolote mapema
NATANGULIZA SHUKRANI
LOCATION :DAR
#YUNGtemper
Wakuu
Kama kichwa kinavyosema,kuna ofisi nimepata maeneo ya Charambe viwandani.Sasa nataka nihamie maeneo ya huko,ni sehemu gani sasa nzuri naweza kukaa,ila uswahilini kabisa siwezi.
Bei kwa mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.