Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Tunajihusisha na Kufanya SERVICE za vizimia motto ambavyo ni aina zote za FIRE EXTINGUISHERS[emoji117] [emoji3462] HYDRANTS[emoji371] SPINKLA FIRE SYSTEMS ALAM[emoji117][emoji599] TUNAPATIKANA...
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Kitu imenyooka haina shida yoyote 0744 033 555 Bei: 520,000
0 Reactions
3 Replies
307 Views
We provide all intelligent solutions for your business, E commerce, management and bring any imagination you have for your business to life! With 16 years of experience in ICT. We exceed the...
1 Reactions
2 Replies
685 Views
Wakuu nahitaji kiwanja Mwanza nina m2
0 Reactions
8 Replies
811 Views
PATA MALI KATIKA UBORA WAKE, ALIKUWA ANAITUMIA MCHINA, AMEIACHA KATIKA HALI NZURI HAINA DOSARI, SPECIFICATIONS Model ya PC: DELL Latitude E6530 Core i5 RAM 6 SSD 232 BEI ni TZS 450,000/= tu, Njoo...
0 Reactions
4 Replies
381 Views
Habari wadau, Nahitaji frame nzuri iliyoko kwenye eneo lenye mzunguko, au kama ni Eneo la wazi naweza kuweka Container nikatengeneza vizuri nitalipia Kodi ya Eneo lako ila container la kwangu...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Makabati na mlango vinauzwa bei 1.8m maongezi yapo ukihititaji kimoja pia sawa 0685415869
0 Reactions
1 Replies
574 Views
Pikipiki Boxer or TVS inahitajika iwe katika condition nzuri Location: Mwanza NB: Isiwe mbovu, na pia kama una brand nyingine kama Honda na bei reasonable nicheki.
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Habari za weekend wana Jukwaa, Nimelima mahindi mkoa wa Pwani Wilaya ya Chalinze, natarajia kuvuna mwezi huu wa 7. Nitapata zaidi ya magunia 30. Hivyo nipo hapa kama naweza pata mnunuzi.
0 Reactions
6 Replies
860 Views
Tenki hilo 2000L Bei 250,000 0744033555 Limetobolewa sehemu 3 kwa ajili ya kusambaza maji kwa nyumba za wapangaji. hapo lilipo ni la kushusha tu na kuondoka nalo
0 Reactions
5 Replies
391 Views
FURAHA YETU: Ni... √ Kukuona UNATIMIZA NDOTO YAKO ya kua na kisima chako cha maji safi kwenye eneo lako (nyumbani, shambani, gereji nk) √ Kukupa MUONGOZO na USHAURI wa namna sahihi ya matumizi...
1 Reactions
7 Replies
933 Views
Comreds ninaomba kujuzwa niwapi naweza kupata vifaa Bora vya saluni ya kina dada. Pamoja na bei ikimpendeza. Ahsante Kwa ushirikiano.
1 Reactions
0 Replies
785 Views
Habari za saizi Jamani’, Naomba kujuzwa ni wapi naweza kupata fresh flowers nataka kutengeneza bouquet. Nipo Dar es Salaam
0 Reactions
9 Replies
908 Views
OFA! OFA! YA LAB COAT [emoji91][emoji91] Jipatie lab coat za high quality GRADE A kwa bei rahisi kabisa [emoji117]Material zake ni ile inayong'aa na rahisi kufua. [emoji117]Bei ni elfu 28 tu na...
0 Reactions
6 Replies
462 Views
Hello Wakuu, Kwa wale wote wenye mahitaji ya Kontena ama Makontena kwaajili ya kusafirishia Mizigo , Kutengenezea Fremu , Nyumba etc Karibuni, huu ndiyo uwanja wetu. Utaweza kupata Containers 20...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wafanyabiashara wa humu jukwaani. Moja kwa moja kwenye mada. Wanauzwa kuku wa Kienyeji wapo takriban 30, wenye afya njema kwabisa Ni wakubwa,wenye uzito na ujazo,utakaokuvutia wewe...
1 Reactions
8 Replies
937 Views
Mambo vipi wakubwa, mimi ni mgeni hapa Dar es Salaam, ombi langu kwenu ni kufahamu mitaa ya Dar yenye idadi kubwa ya watu wa kipato cha hali ya chini pia inayoweza kusupport biashara ndogondogo...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imedhamiria kuanzisha mpango wa kuwezesha ujenzi wa vituo vipya vidogo vya mafuta (petroli na dizeli) vya gharama nafuu maeneo ya vijijini ili...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mwandege magengeni wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani, boma linauzwa la vyumba vitano,lipo barabara ya mtaa dakika 5 main road bei MIL 8 ukubwa Sqm400.0767600250/ 0674913177
0 Reactions
2 Replies
850 Views
Habari Wana jamii natafuta chumba maeneo ya Kinondoni kiwe self contained 100k kwa mwezi Hit me up
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Back
Top Bottom