Nahitaji kijana wa kazi ya kutoa huduma ya mpesa maeneo ya kimara mwisho...awe anajua kuandika na kusoma,awe anajua hesabu vizuri,awe wa kiume na pia awe na wadhamini watatu wanao eleweka...ni pm...
Husika na kichwa cha habari hapo juu, tunatoa huduma ya kuweka na kukuelekeza kutumia tally erp software kuanzia biashara binafsi, miradi, maduka na kampuni ndogo mpaka kubwa kwa bei ndogo kabisa...
Nahitaji vifaa vya saluni ya kiume nipo mwanza geita, vifaa vifuatavyo:
1. Viti vitatu vya kunyolea
2. Sofa/kiti cha wateja kusubiri
3. Mashine 3 za kunyolea
4. Vioo vikubwa vya ukutani
5...
mimi muhitimu wa chuo kikuu nimeoa nina shughuli zangu nimeweza kushawishi taasisi fulani kuhusu documentary film fulani nimeshagharamia zaidi ya milioni tatu kama uko inerested njoo wekeza m 1.5...
Habari!
Kama kichwa hapo juu kielezavyo natafuta king'amuzi cha Free To Air Used kizima kabisa aliyenacho au anayejua Mahali viuzwapo...Naomba Msaada wa kunielekeza kuniuzia.
Ahsante...
with surveyed areas
Ikiwa na Hati ya kiwanja (title deed) tangu mwaka 2011.
4 bed-rooms with 2single bedrooms and 2Master bedroom(self contained)
wide and sufficient Dinning room
Big Sitting...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.