Inahitajika mojawapo Kati ya hizo mbili kwa ajili ya biashara Noah kwa wiki hesabu 130,000/= na hiace kwa wiki ni 300,000/= hapa hapa Dar Noah itakuwa inafanya kazi kimara halafu hiace inafanya...
Nyumba ipo nyuma ya Chuo Kikuu Huria Dar es Salaam ,ina leseni ya makazi,ina vyumba viwili vya kulala na sebule,ina uwa kwa nyuma,kibaraza kwa mbele,barabara ya gari inafika mpaka mlangoni,nyumba...
Na nunua ngozi za ngo'mbe, mbuzi na kondoo. ziwe zimekaushwa kwa kuwekewa chunvi.
zisiwe na chapa za moto
zisiwe zimetobolewa kwa visu wakati wa uchinjaji. niko dar ila popote zilipo nchini kuna...
Mimi ni mtumishi wa serikali nilie ajiliwa chini ya serikali za mitaa
Ninatafuta mfanya biashara anae weza kuniamini na kunikopesha gari aina toyota hiace ambayenitaingianaye mkataba wa kumlipa...
Heshima kwenu wadau..
Kuna appartment inapangishwa ubungo external near mabibo hostel and ubungo export processing zone.
Nyumba ni nzuri kwa bachelor maana ni Chumba master na sebule yake +...
WanaJF niko Serious ninauza Shamba langu lenye ukubwa wa hekari 2 na Robo lililoko Kigamboni eneo la Buyuni.Shamba liko Salama halina Mgogoro wowote ni langu binafsi na niko tayari kwenda popote...
Ndugu wana JF nisaidieni niweze kupata REMOTE CONTROL NUMBER RM 886 FOR SONY TRINITRON KV29fx11U nimebahatika kununua tv aina tajwa katika mitumba lakini haina remote nasiwezi fanya mambo mengi...
Aina ya Simu: Samsung Galaxy Tab 3,
Hali yake: Used na haina michubuko,
Uwezo:16GB internal memory, 1GB ram, Inatumia laini,
Camera: 5mpx camera & 1.3mpx cam ya mbele,
OS...
Ni wilayani kilolo-iringa,kuna mashamba mengi yana miti ya mipaina hasa ya kufuga ya umri mbalimbali bei yake ni poa sana au waweza nunua shamba tupu then upande na baada ya miaka 8 waweza...
Vipo viwili katika ukubwa tofauti
1.Robo eka (sqm 1000),bei 20mil.
2.Nusu eka (sqm 2000),bei 50mil.
Havijapimwa,maji na umeme vipo jirani
Ni mita 500 kutoka Bagamoyo Road,gari inafika mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.