BADO NAENDELEA NA KUUZA VIWANJA VYANGU- VIMEBAKI VICHACHE SANA
MBEZI MWISHO NJIA YA KWENDA MPIJI MAGOHE
Sifa za kiwanja - kiwanja kipo sehem tambarale ukubwa 35x38...
Habari wana jamvi.Jamani nina uza TV ya Solar flat screen, Solar panel watts 100, Betri ya N 100 na Inventor. bado vipo kwenye khali nzuri.nauza kwasababu nimepata umeme.hivyo sivihitaji...
Nimepata frem lakini gharama yake ya umeme ni 25,000/= kwa mwezi utumie usitumie mi nimeomba nitolewe kwenye huduma ya umeme plan yangu ilikuwa stationery lakini inabidi nitafute mbadala wake...
Fursa kwa mwenye biiashara ya hardware,
Fremu zipo mbili kwa biashara hiyo.
Fremu zipo kimara suka dk 5 toka morogoro road karibu na unenamwa
Vyumba vyake ni futi 10 kwa 11
Bei yake ni 80,000/=...
Je unahitaji nembo au logo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale.Basi wasiliana nami ili uweze kupata logo iliyo simple na yenye uwezo wa kuwakilisha biashara yako mahali popote...
Kesho naenda vuna shamba langu la matikiti maji uko mkuranga..so kuanzia jion mzigo utakuwa unapatikana. Nafanya home delivery kwa maeneo ya tabata sanene adi segerea kuanzia matikiki matano na...
Baada ya kusimama tena kwenye game Rehema Chalamila aka Ray C ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kama ‘Milele', ‘Nimezama', ‘Uko Wapi' and as soon as possible she will be back...
Lipo katika hali nzuri halina shida yoyote.halija tumika tangu lilipofika toka japani namba ya usajili ni T368 CWV.KWA mawasiliano piga 0652246415 ama email eddyhamisi@gmail.com.BIASHARA MAELEWANO.
Pikipiki imetembea km 846 imelipiwa vibali vyote namba C Ina miezi 7 tokea inunuliwe ipo Dar es salaam safari ilikua ikifanya nikwendea ofisi na kurudi nyumban bei 1.9mill simu namba 0755984282
Habari ndugu!
Kuna jamaa yangu nafanya kazi naye za marketing research anaishi Zambia na ana kampuni yake ya biashara amepata zabuni ya kuingiza mazao ya mahindi nchini kwao Zambia, amewasiliana...
Haya other new Offer
Naomba kutaarifu kwamba ile ya Mwanzo niliopost imeishauzwa(Red Color)
Hii nyingine ipo sokoni kwa sasa(black)
Pikipiki Boxer BM 150 Full Bima kwa mwaka mzima...
Habari wana JF,
Nauza starlet kwa 4.6m.Taarifa nyingine:
1.km 129
2.cc1300
3.Tubeless
4.Ipo ktk hali nzuri.
5.Naiuza ili nikale bata tu.
6.Co sport rim
7.BXU
9.Haijawahi pata ajari.
10 .0712551067
Aina ya simu: G G2 -- D802
Hali yake:Mpya,
Uwezo: 16gb internal memory, 2GB Ram,
Camera: 13mpx camera ya nyuma & 2.1 ya mbele & flash,
OS: Android OS, v4.2.2 jelly bean...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.