Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa Mwasonga mita 200 kutoka mradi wa visima vya maji.
linauzwa Tsh 18,000,000/ (milion kumi na nane) hakuna dalali
mawasiliano 0755 909 300/ 0713 229 924
Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa, lipo maeneo ya mwasonga baada ya Dar es salaam Z00 mita 200 kutoka mradi wa visima vya maji. Linauzwa Tsh 18,000,000 (milion kumi na nane) hakuna dalali...
Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu lipo maeneo ya mwasonga baada ya dar es salaa zoo. Mita 200 kutoka mradi wa visima vya maji. Linauzwa tsh 18,000,000(milion kumi na nane) hakuna dalali. Maongezi...
Hello members,my name is Victus Temba from Dar es salaam. Ilala. I'm looking for a partner who will be able to provide any necessary needs into our activities.
I've been a retailer of wines&...
Nauza mafuta ya alizeti safi kutoka Dodoma ujazo ni lita 5, hayajachanganywa ni kitu chochote bei ni sh 16,500 napatikana Mwenge na Makonde Mbezi Beach kwa maelezo zaidi nipigie simu kwa namba hii...
Wadau nataka kuanza shughuri za ufugaji hivyo nahitaji shamba ekari 2
Vigezo;
1.Liwe karibu na barabara au kuwe na barabara inayopitika wakati wote hadi shambani
2.Umeme ukiwa jirani ni added...
Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa mita 30 X 15 vinauzwa eneo la Mbezi kwa Msuguri, wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Viwanja vimeshapimwa na huduma za maji, barabara na umeme zinapatikana...
Hello Tanzania,
Karibu Kilimanjaro Film kuanzia tar 18 August 2014,tujifunze namna yakutengeneza filamu zenye ubora na bunifu.Tembelea page yetu ya Facebook:Kilimanjaro film au...
Nauza DJ mixer na Cd player, aina ni Denon ikiwa na mixet yake aina ya numark na kam kcd 500 iko complete na mixer yake ya Kam ziko pamoja na flight case yake kila moja, Bei ni mil 1 hii ni double...
Nauza Toyota Vitz New Model ya Mwaka 2006, Imetembea Kilometre 69,000, ina 18 inch alloy wheels, 6 Airbags,Push to start, Ni automatic na inatumia petrol Bei Mil 9 na Nusu, Kwa anayehitaji ani PM....
Suruali za kike na kiume za kiofisi,mashati ya kiofisi na blous,pia tuna slim fit jeans,tops,mini dress,tops,magauni ya watoto ya kuendea msikitini na kanisani.
Napatikana banana ukonga, sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.