Bawasila ni ugonjwa unaosumbua watu wengi, husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfreji wa haja kubwa. Kuna aina mbili za bawasila nazo ni,
(1)kinyama kirefu...
1. Hekta moja kwa ajili ya ujenzi wa Shule.Iko Misugusugu.Bei ni milioni 60
2. Nyumba ya vyumba vitatu na eneo la robo ekari.Ipo Kongowe.Bei ni milioni 45
3. Nyumba yenye vyumba vitano na frem 4...
habari wanandugu,naitaji display ya Samsung galaxy note2,jana ilidondoka chini ikapata creak,ivyo mwenye nacho anipm au mwenye kujua bei na wapi kinapatikana pia naomba msaada
chumba sebule tajwa hapo juu kinatafutwa , kama kina self itakuwa vizuri zaidi, gari moja kuja posta dar es salaam liwe chaguo la kwanza
NI PM kama kipo available
kuna viwanja vinauzwa vimebakia viwanja viwili katika sehemu hiyo.kuna cha sqmt 597 na sqmt 517.kama kawaida viwanja viko surveyed.kutoka kigamboni ferry hadi hapo ni km 25 ni upande wa kulia...
Ninauza ya mizigo aina ya center tn 3 1/2 kwa bei poa kabisa, kwa mawasiliano zaidi piga no 0784737427 au 0712756342
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mimi ninayo android phone ina Gingerbread version 2.3.6 imetumiwa siku moja tu for testing.
-Inakuja na one year warranty
-Full box lakini imefunguliwa for testing in one day ina all...
Yeyote mwenye uwezo wa kuchora ramani ya nyumba yenye vyumba vinne ,bafu ,sebule .naomba uweke wasifu wako kwa mfano raman zenyewe na pia uwe na uwezo wa kuchora mpaka 3D.
nipo dsm.
Wana jamvi, nauza hiyo kitu hapo juu. Ni CANON PROFESSIONAL CAMERA EOS 60D.
Kitu bado kiko kwenye oda kabisa...nimetumia miezi michache sana.
Mwenye kuhitaji apige namba hii tufanye biashara...
Hello wana jamvi nina uza simu aina ya Huawei acsend y 210 kwa shilling laki moja na hamsini kwa yeyote atakaye kuwa tayar ani pm au anipigye kwa namba 0788572816 but simu c mpya ni used asanteni xana
Viwanja viko mbezi makabe ukubwa
Ni Mita 20x24 million 5, mita 40x20 million 9.
vipo sehemu yenye Umeme na Barbara nzuri.
Kwa taarifa zaidi piga: 0718334726, 0787023684.
Nina shida ya dharura imenipata nahitaji million moja niweze kuikabili. Nitairudisha mwezi july kabla ya tarehe 15. Naomba mnitumie email mnaokopesha kwa riba ili tuongee mtani charge riba kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.