Bei ni 750,000 tu, imesajiriwa na inatumika hapa Dar es salaam. Naiuza kwasababu nataka kubadilisha biashara kwa sasa, anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0713945665.
dell latitude e 6430, hdd 750gb, ram 8gb, core i7,spedy 3ghz,HD TrueVisionwebcam,internal modem, inch 14,light on keybord,mpyaa, bei 950
dell latitude e 6430, hdd 500gb, ram 4gb, core i5,spedy...
Nauza full set ya mziki aina ya fidek wenye mid 2,bass 2 za maana,pia una booster mbili za watts 2800 na 3200,american audio mixer,nyumark machine na vifaa vyake vengine..mziki una mwaka mmoja...
Nyumba inauzwa iko kibaha miembe saba imekamilika kila kitu isipokua umeme na maji,ina vyumba 3 vya kulala sebule sehemu ya kulia chakula stool na jiko ina uwanja mkubwa tu bei milioni 50 umbali...
Tunakupatia hii Power bank bora kabisa kwa TZS 70,000/= tu!..hii itakuwezesha kucharge smart phone yako ukiwa unatembea au wakati umeme umekatika..piga 0757-429-923 sasa hivi tukupatie ya kwako!
I have
Dell Inspiron N5030 FOR SALE OR EXCHANGE DEALS
HDD 160GB,RAM 2GB,PROCESSOR 2.38 GHZ
WEBCAM+DVD RW
BATTERY 1HOUR
USED FOR 1 year.
Located in DODOMA
0752385949
Wakuu nina simu tajwa hapo juu naitaji simu ya kubadilishana napendelea nipate Nokia original ya Torch nyeusi
Tatizo la hiyo Samsung clone ni scrach kiasi kioo na kutoa screen lock password tu...
Wadau...back again na biashara...nauza gari yangu aina ya starlet ya silver....ipo katika hali nzuri sana na no ni bvf.....call kwa wenye uhitaji tuuu. 0652590519
habari ndg,natafuta touch ya HTC XL TM BEATS AUDIO,mwenye nacho nitafute kupitia 0756664797,naitaji mapema iwezekanavyo,au kama kunasehem naweza kupata basi naomba kuelekezwa wapi kinapatikana
Kwenu Wadau,
Wahenga walinena "kizuri kula na nduguyo", kwa ndugu zetu wafanya biashara hii ni habari njema kwao, international commercial bank inawakaribisha kua na uhusiano wa...
Bajeti yangu ni mil 5 ,je naweza kupata gari ambayo haitanisumbua wala kula mafuta sana?
Sitaki kushinda garage mara kwa mara na kipato changu cha kawaida,ntakua mara nyingi naitumia huko lushoto...
Wadau hasa kwa wale wanaotaka kuwekeza kwenye kilimo,kuna shamba la heka 70 lipo karibu na mto linauzwa,shamba ilo lipo katika kijiji cha Unone,wilayani Kilosa katika mkoa wa Morogoro,lipo karibu...
PLOT iko maeno ya Kongowe eneo flani linaitwa Vianzi kiwanja kina ukubwa wa 40 kwa 25 yaani ni "Two in one" flat square Bei inaanzia 4ml lakini kuna maongezi kibinadamu.Piga 0713649555 uongee na...
Hi Mods
Wapendwa naombeni ushauri, nahitaji kununua smartphone mpya ya kijafanja kwa bei isiyopungua 300,000/= na isiyozidi 400,000/=. Ila jamani isiwe Tecno, Iphone wala Blackberry, all other...
S5 milion
S4 laki 5
Tab laki 5
Gland laki 5
Zote mpya zina box na kila. Kitu na original na bei inapungua ,unahitaji wasiliana na mi,nmeshindwa kuatach picture
Nauza UPS Aina ya APC zilizotumika zipo 5 tu, unaweza kutumia ups hizi ili kuunda INVERTERS au AMPLIFIERS zote zina transfomer kubwa na nzuri au kwa matumizi ya kawaida kwenye kompyuta n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.