kama umechoka kutembea kwa miguu au kupanda daladala jipatie gari hii kwa million 3 tu, maelewano yapo piga namba 0713532322 kwa maelezo zaidi, niko dar es salaam
Year of Manufacture: 2004
Imported year: 2011
Woodentim
CD/DVD/FM
CC: 1990
Fuel : Petrol
Transmission: Automatic
Seat: 7
Reversing sensor
Camera
Fog Lamp, alloys, No accident, in top condition...
jamani wana jamvi,
nilinunua kuku wa kienyeji kama 40 hivi kijijini. Sasa wameanza kutanga kwa fujo kweli. Lengo niwe na kuku wengi , shida kila anayetaka kuatamia wengine wanamfanyia fujo...
jamani napata wapi mashine yakukamulia juice ya muwa,pi ninamahitaji ya vikombe vyakaratasi vile vinavyotumika mara moja tu.pia ile mashine yakuchanganyia juice.
Naomba kusaidiwa..
Eneo kubwa kiasi linalofaa kwa makazi linauzwa Burka Block A . ukubwa wa eneo ni sqm 1700 kwamaana nyingine ni urefu mita 50.00 na upana mita 34.00 . lina hati . bei 90m ila kuna mazungumzo kwa...
Kiwanja chenye ukubwa wa sq 1300 eneo la iwambi(prime area) kinauzwa 15 milion, haihitaji dalali kipo block e ambalo halihitaji maghorofa, kipo karibu na gordown la kanji lalji (plot ipo kati ya...
NYUMBA INAUZWA MAJOE YA {MOMBASA}
KIMSINGI SI NYUMBA KWASABABU SIO
KUBWA NA SIO YA THAMANI SANA
KIKUBWA NI KIWANJA UPO TAYARI
KUNUNUA.. Tsh 19 mil maongezi yapo.
wasiliana hapa: 0714 04 50 80:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.