kuna "htc one" mpya for 600,000. Wahi sasa kwa anayejua simu anaelewa bahati hiyo bei.
Pia kuna "htc one x" mpya for 400,000..
Kwa anyehitaji 0717599884
Ndugu zangu, baada ya kuwapo na ugumu wa ajira kwa muda mrefu, nimeamua kufungua kampuni ndogo ya KITOHO TRANSPORTERS&GENERAL SUPPLIER ambayo imejikita ktk usafirishaji na usambazaji wa bidhaa...
Habari wana Jf, natumaini mnaendelea vizuri na mipango ya kujenga maisha yenu na taifa kiujumla. Samahani napenda kuwataarifu kwamba kaa mkao wa kusoma lile gazeti lako BAABKUBWA MAGAZINE kila...
Dalali napokea order kwa wale wanao tafuta nyumba kwa kupanga maeneo ya sinza,kijitonyama,mwenge na mbezi beach. NiPM au text me 0752953860,Sema unataka nyumba ya namna gani na maeneo gani.
Habari zenu wakuu!
Simu zinapatikana aina ya Samsung medium to high end devices.
Agiza galaxy note 3, S2, S4, S5, grand. e.t.c. Simu zote ni original na unapata warranty ya miezi 24.
Call text or...
Mfanyakazi wa stationery anahitajika. Sifa: Awe amemaliza Kidato cha 4+, awe amesoma kozi za computer au secretarial, awe na uzoefu kuanzia miezi 6.
Mahali: Kisarawe
Mshahara: Mapatano...
Habari Tanzania tupohapa kama wana CF kuwatangazia kuwa tumefungua mtandao wa kijamii huitwao CHATFASTA (Cf)unahusisha watu wote bila kujali Nchi kupata more infounaweza tembelea page yetu...
Kiwanja kinauzwa tshs milioni tano (5m) kipo Kiluvya 1.5 km kutoka morogoro road,kina ukubwa wa 20m X 40m kuna maji na umeme karibu, kwa mawasiliano ni PM au piga 0765 123 906
Kiwanja kina ukubwa wa 20 kwa 16. Kilikuwa tayari kimeshaanza kujengwa nyumba. Yaani kina msingi wa nyumba ya vyumba vitatu, sehemu ya kulia chakula ( Dianing room ), sehemu ya kukaa kwa...
Habari za jioni mabibi na mababu wa jukwaa hili.........
Nauliza wapi ninaweza kupata Vipodozi vya Victoria's Secret kwa bei ya jumla kwa Dar Es Salaam.
Na je nje ya nchi huwa vinapatikana wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.