Hello, kama kuna mtu ana chumba cha ofisi na kuna uwezekano wa kushare na mtu mwingine afunguke hapa:
Ofisi iwe kuanzia shekilango hadi Africasana
Ofisi isiwe bize sana kila mara
Ofisi...
Nilikuwa nafanya Biashara ya Duka la STATIONERY Dar es salaam,Baada ya kuamishwa kikazi nimeamua kufunga hii biashara na kuuza vifaa vifuatavyo;PHOTOCOPY MACHINE,COMPUTER,LAMINATION,BINDING,ID...
Nina heka zaidi ya 1700 ambazo ninaweza panda mazao haya, maharage,mahindi, ufuta,alizeti,soya,tumbaku,ulezi etc. Mwaka huu nimepanda heka 120 za maharage ambayo yana mteja tayari na tume saini...
Excellent in good condition, no scratches or any other tecnical fault. Used for only one moth till now, with its complete accessories including the driver's disc.
Hdd....500gb, duo core 1.9 ghz...
Nauza gari aina ya center(mitsubish) 2wheel imetumika lkn iko kwenye hali nzuri haina tatzi lolote. bajeti m. 15 maongez yapo nitafute no 0784737427 mmiliki.
Sent from my BlackBerry 9900 using...
Habari ndungu zangu, mimi ni mmiliki wa kampuni ndogo ya ya KITOHO TRANSPORTERS&GENERAL SUPPLIER, kwa sasa tunasambaza mayai katika mkoa wa Lindi, lakini tunaomba kwa mwenye uhitaji, ufahamu wa...
Ipo ndani ya geti ina vyumba vitatu na sebule .
Ina Tiles na ndio imepigwa rangi , No dalali.
Samahani nimeleta tangazo sijaweka picha ila atakaye kua interested tuwasiliane
Habari wana jamvi,
Kuna nyumba inauzwa maeneo ya mwananyamala kwa kopa,ipo kwenye eneo zuri haliingii maji na bei ni shilingi million themanini (80000000) kwa yeyote aliye tayar naomba ani pm au...
Nilikuwa nafanya biashara ya Duka la STATIONERY Dar es salaam,baada ya kuamishwa kikazi,nimeamua kufunga hii biashara na kuuza vifaa vifuatavyo;
PHOTOCOPY MACHINE,COMPUTER,LAMINATION,BINDING,ID...
UBA Wamepatoa utatuzi kwa wale waliokua wakipata tabu na manunuzi mtandaoni kwa kuleta visa card yao isiohitaju kua na account na ni card pekee iliothibitishwa na visa (verified by visa) hibyo...
wakuu,
Nina kobe zaidi ya 100 hapa Chanika D'Salaam, nauliza wapi nitapata wateja wa hiki kitoweo? na je wananunua kwa bei gani?
mwenye taarifa walipo wateja na bei zao anijuze hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.