Connies fast food as a whole business that includes the clientele, furnitures and everything in the restaurant is currently for sale.
It is opposite massana hospital along side goba road. Less...
Chama cha mawakala wa huduma za pesa kwa simu za mkononi Tanzania cmp kinawalika kwenye MKUTANO utakaofanyika ktk UKUMBI wa ngorongoro lamada hoteli trh31 / 05 / 2014 saa tatu asubuhi fika tujenge...
habari wana JF. Kwa mtu yeyote mwenye taarifa au anayeweza kunipa taarifa juu ya fremu kwa ajili ya biashara ya m-pesa maaneo ya post au sehemu nyingine maeneo mikocheni.
Habari zenu Wapendwa!
Fashionable Black tuxedo suit inauzwa kwa bei nzuri na iko pamoja na white tuxedo shirt, red tie na red bowtie kama inavyoonekana kwenye picha, ni make ya Italy na ni size...
ipo ukonga -Mongolandege haikupauliwa kuna uwanja wa kutosha,ipo barabarani,huduma ya maji umeme upo,bei M.15 ni pm kwa mawasiliano zaidi,haina dalali.
Nauza gari yangu aina ya NIssan San ipo Arusha ni Manual ipo katika hali nzuri ndio natumia kutembelea ila kwa shida binafsi.kwa mawasiliano piga 0767 931 887 muda wowote. picha ni kama...
Ninauza printer aina ya Lexmark, inayoweza kuprint, scan na copy. Pia inauzwa Monitor flat screen, LCD ambayo ni 17 inches. Zote kwa pamoja ni laki 2 na 30.......Zipo dar
Mawasiliano; 0786-305664
Hallow, jamani naombeni msaada kama kunamtu anaweza kunielekeza ni wapi naweza pata suti za wadada kama nane za kukodisha, koz officini wanataka maashers wavae nguo za aina moja.
Habari wakuuu nauza simu yangu aina ya huawei ascend y 220
sifa zake ni kama hivi:
Android 2.3
3.5 inch HVGA full touch screen
Wi-fi 802.11 b/g/n
bluetooch 3.0 EDR/HS/A2DP
web-browser
G-sensor...
Wadau habari zenyu....used car nissan xtrail ya 2003 inauzwa...bei 15mil...contact 0713339910 for more details and more fotos...iko ktk hali nzuri mnoo..naambatanisha baadhi tu ya picha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.