Jamani m ni mwanafunzi udsm tatizo ni kwamba nina softcopy nying na hela nliyonay ni 300000 , hivo siwez pata laptop mpya nzri so kawa mtu anayejua sehemu ambay wanaokopokesh, au sehem ambayo...
Nyumba nzuri mpya inauzwa maeneo ya Tabata Kisukulu, Dar es salaam. Ina Master bedroom/bathroom, 3 other bedrooms, kitchen, dining, living, parking, maji. bei milioni 170. Wasiliana ma Eric...
Jamni natafuta laptopmpya nina 300000 sasa ninaomba kujua sehemu ambayo wanaweza kunipa lakini nimalizie hela baadae nna soft copy nyingi jamani naomba mnisaide ushauri au sehemu wanazokopesha na...
Wanabodi habari,
Natafuta nyumba ya kupanga Dar es Salaam yenye specification zifuatazo;
1. Vyumba viwili vya kulala kam kuna master room ni bora.
2. Jiko, Sebule, choo n.k
3. Parking umeme na...
Nauza gari aina ya Daihatsu storia (Toyota Duet) bei ni mil 3.5. Ni manual na ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana cc 980. For serious buyers just pm me for more details.
Sent from my iPhone 4S...
Eneo lnauzwa..lina ukubwa wa
robo 3 accre..
Location.. kibaha kwa mathias
3km frm morogoro road...
Eneo lipo karbu na huduma zte za
kjamii yaan umeme,maji,hospital
na zngne nyingi tu...
Jamani kuna rafiki yangu anahitaji suti ya harusi taxsido,singo bata,ana laki na 80 atapata wapi kwa maeneo ya dar!
Kama inapatikana na yenye quality nzuri weka namba ya simu tafadhali,sitaki PM
Ndugu zangu mawakala wanatoa huduma za pesa kwa simu za mkononi Tanzania cmp mnakaribishwa kwenye MKUTANO wa mawakala wote .siku Jumamosi ktk UKUMBI wa hoteli lamada mtarifu na mwenzio
Wadua habari zenu,tunauza dagaa wabichi walio kaangwa,wasio na mchanga hata tone kwa bei nafuu.
1 packt@1200; na kuanzia packt 10@1000. pia tunauza kwa kilogram, 1kg@9500,na kuanzia...
Nauza simu wadau ya tecno N7, ni white and blak kwa rangi na ina 3G na 2G network. Inatumia Android version ya 4.0 na 5MP camera na ni double line.
Bei ni laki 2 mwisho 180000.
Aliye interested...
Kuna watu wengi wanapenda kulima ila kutokana na majukumu mengi wanashindwa kusimamia, mimi nawasaidia watu wa namna hiyo.. ni hivi unanipa laki 4 kwa ekari moja alafu mi nakupa laki 5...
Je wewe ni mfanyakazi au mfanyabiashara mwenye kipato cha wastani?
Je unahitaji kukuza biashara yako na kuwa ya kimataifa?
Je unahitaji kutimiza ndoto zako mbalimbali za maisha kwa uhuru wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.