Ndg zangu natafuta vinyago vya kuvaa mwili mzima,ninaandaa program ya watoto itakayorushwa kwenye televisheni hivyo vinyago ni muhimu sana kwenye show hiyo,natafuta vya sungura,dubu,binadamu na...
Natafuta watu waliohitimu Darasa la Saba mwaka 1988 Shule ya Msingi Leganga Usa-River Arusha kama akina Muhammed Ali, Msafiri, Hariri Khamisi, Yolanda, Mariam, Israel, zakaria simeon, amina na...
Toyota ist 2003 model, silver color, 1,300cc engine, automatic, petrol, used in tanzania for one year .., in excellent condition. Price- negotiable. Contact 0757000400
Nauza
Nokia Lumia L520 sh. 270,000 imetumika miezi 2 tu, ni smart phone
nzuri/kali inayosupport Whatsapp, Instagram BETA, Camera, Cover na vitu vingine ving na iko kwenye hali
nzuri sanai...
Mtaalamu wa kudesign logo kwaajili ya logo ya company anahitajika kwa yoyote mwenye utaalamu plz anipe Cost yake, itachukua muda gani? Na anapatikana wap? Bila kusahau kunionesha japo logo...
SmartPhone HUWEI P6, ram 2gb,cpu spedy1.5ghz,android 4.2.2,front & back camera slim shape,internal memory16gb,extendable upto 64gb, colour black,mpyaa na box, zipo pc 2
Cal 0719373606
Nahitaji milango ya nyumba ya ndani na nje iliyotengenezwa tayari au ambayo inaweza kutengenezwa kwa makubaliano. Muhimu inatakiwa iwe bora na bei nafuu. Wasiliana nami through PM with all...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.