nyumba inapangishwa arusha maeneo ya sekei. Ni self container yenye chumba kimoja na sebule na jiko, choo na bafu. Ni pembeni ya barabara kuna parking. Kwa mawasiliano zaidi piga namba. 0754 507014
Wadau,
Natafuta gari ya kukodi hapa Arusha.
Ni lazima iwe pick up,double cabin,4WD na iwe kwenye hali nzuri.
Gari hii inahitajika kwa safari za nje ya arusha na wakati mwingine shughuli za ndani...
Toyota OPA nzuri sana inauzwa!
Year 2003
Engine cc 1800
Transmission: Auto
Km 75000
BEI 9,999,000/= (maongezi yapo)
Gari ipo Kilimanjaro(ms)
simu:0754499022
Nauza camera tajwa hapo juu
Ina wifi
Lens coverage nyuzi 180
Ni waterproof unapiga picha hata ukiwa deep sea
Niko dsm
Bei 350,000
Plz pm or contact 0758293598 if interested
for more details...
Kwa wale walioko dar au hata wa mikoani km watakua interested, nauza iphone 4s imetumika few months kwa mwenye kuhitaji anichek kwa 0713 806 766.
baadhi ya sifa zake;
-nyeupe
-16gb
Wakuu kwa anayehitaji hii Simu. Simu inamuda wa wiki moja tu tangu niinunue Dukani laki mbili na 30. Naiuza kwa sababu huku kijijini haiplay yuotubu vizuri inagomagoma lakini mjini kwenye 3G there...
NYUMBA YENYE KIWANJA CHENYE UPANA WA METER 26 NA UREFU METER 63 NA NUSU KINAUZWA. NYUMBA INA VYUMBA VYA KULALA 4, CHUMBA KIMOJA NI SELF CONTAIN, CHOO MBILI ZA NDANI, SEBURE KUBWA YENYE DAINING...
M-POWER(off gridi) ni kampuni ya solar za kukodisha zinapatikana kwa gharama ya kufungiwa ni sh.10,000 kwa mtambo wa daraja la 1 na kwa sh.15,000 kwa mtambo wa daraja la 2 pia zina chaji simu na...
Wandugu, kama kuna mtu anahitaji kiwanja, kipo Mbezi kwa Yusufu, eneo la Michungwani, kama dakika kumi kwa gari. Kama unahitaji au una jamaa anahitaji, basi piga 0787001207. Serious buyers tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.