Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu kuna shamba linauzwa lipo bagamoyo njia ya kwenda msata. Ni km chache kutoka bagamoyo mjini. Eka moja 700,000/= zipo heka 150 mwenyekuhitaji tuwasiliane
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Text/Call 0715872034, niko Dar.
0 Reactions
3 Replies
913 Views
Je una ndoto za kuanzisha kampuni, taasisi, vyama nk? Tunatimiza ndoto yako. Tunatengeneza katiba za kampuni, mashirika, NGO's, vyama vya michezo, siasa nk, bei ni nafuu na rahisi...
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Shamba la eka moja linauzwa maeneo ya vikindu.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nauza shamba yenye ekari 18 kwa shilingi 35000,000 shamba ipo vikindu Manyani vianzi kwa atake ani pm Ahsante
0 Reactions
2 Replies
2K Views
je una eneo kubwa la shamba au hata eneo lolote ambalo halijapimwa lakini liwe kubwa, ili tulipime kitaalamu na kulichorea raman za viwanja (town planning drawing) ili iwe faida kwako baada ya...
0 Reactions
0 Replies
528 Views
Karibu Maisha Mikopo, ni mikopo midogo midogo kwa maendeleo yako. Dhamana ya mkopo inaweza kuwa Pikipiki, Gari, Bajaji, Kiwanja, Nyumba au Mali yoyote isiyohamishika. Kopa na "MAISHA MIKOPO KWA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Laptop aina ya msi imekuja na window 7, ram 2gb, hard disc 250,processor duo core,font camera,charger inakaa masaa 5 naiuza 270 tuwasiliane 0653491308
0 Reactions
2 Replies
837 Views
Heshima kwenu brothers and sisters Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") Nyumba ina vyumba vitatu kimoja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau blackberry curve 9320 inauzwa kwa bei poa kabisa Tshs.150,000 tu maelewano pia yapo.Simu bado mpya na haina matatizo yoyote.kwa anayeihitaji awasiliane nami kwa namba hii 0712 799 747.kuiona...
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Tv hitach flat Mbele na nyuma Inachogo kidogo Nchi 21 235,000 Deck simsang 40,000 Tv table...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu Tufanye biashara nahitaji samsung galax S4 niko na 500,000/= iwe katika hali nzuri.. Pia nahitaji External Hard disk 1tb kwa 100,000/= uwe kati ya arusha au moshi..... kama unayo kimoja...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Habari zenu wandugu, natafuta kitabu cha [Hekaya za Abunuwasi] hata kwa kununua ....kikiwa softcopy (pdf) au hardcopy ni sawa tu...ni PM kama unacho tufanye business..
0 Reactions
0 Replies
979 Views
anayeuza PS2 , nahitaji jamani kwa bei poa, ani PM tufanye biashara.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Gari safi kabisa la kisasa linauzwa, Lady driven, engine VVTI Beam 2000, CC 1980, KM 105,000.00 tu, linafanyiwa service ipasavyo na limekatiwa comprehensive January 2014, Lina tairi mpyaaa kabisa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nina laki3 na iwe DVD RW. Nipo kibaha
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Nauza shamba tajwa hapo juu. Lipo mafinga kwenye kijiji cha kinyanambo. Lina ukubwa wa eka sita. Miche ipo elfu sita yenye umri wa miaka miwili toka imepandwa. Bei ni mil.24/- Karibu kwa yule...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Naomba kwa yeyote anayefahamu soko la strawberry hapa Tanzania,nimepanda maeneo ya hedaru nitavuna mwezi wa tano nilipanda kwa majaribio Naona zimekubali
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Do you need to have at least professional email accounts without / before website? You can skip the website cost and still STAYS professional. If that was what trouble ring your minds then we...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Habari wadau, Kuna Pick up single cabin inauzwa. Ipo kwenye hali nzuri. Inauzwa na owner. ni white, imetembea apprx Km 100,000. ipo Dar, ni nzuri hata kwa biashara. AC yake inafanya kazi vizuri...
0 Reactions
2 Replies
957 Views
Back
Top Bottom