Nauza puppie aina ya bulldog .wamepata chanjo zote.Angalizo unawaona kwenye picha si wenyewe nimeshindwa kuchukua picha maana bado wachafu na mama yao mkali kidogo siwezi kuwagusa .bei inaanzia...
Kama una kiwanja kilichopimwa na hakina mgogoro tafadhali tupia comment hapa tuelewane, msimu wa kupeleka watoto shule huu na Januari mwez dume mwenye shida na hela please tuwasiliane
Hallow everyone,,
NAUZA GAUNI LA HARUSI.
1:COLOUR-white
2:SIZE-18 to 20 UK (for pluse size woman)
PRICE-300,000.
Xo...xo..xo
NAUZA GAUNI LA SENDOfF.
COLOUR:Royal blue and baby yellow...
habari wakuu! mimi naishi hapa dar! nilikuwa nahitaji gari ndogo aina ya suzuki kwa ajili ya shughuli zangu ndodgondogo za kiujasiliamali tukielewana malipo ya installments ndani ya miezi nane...
Nahitaji Mtu wa website design kwa ajilli ya kutengeneza website yangu.
Sharti: 1 awe amshawahi tengeneza website na anipatie links zake niwezeona kazi zake
2. Bei yake iwe inalipika...
Habari za wkeend viongozi wangu,nahitaji smartphone brand za Lenovo au Sony Xperia yeyote alienayo kati ya hizo iwe ni mpya kabsaa pia weka na specifications zake,Bajeti yangu haizidi laki 3.
Natafuta nyumba inayouzwa Daresalaam,pia itakapopatikana muuzaji akubali kuwepo kwa wakili.Yaani nyaraka zote zitapitia kwenye uhakiki au zitahakikiwa na wakili ,na tangazo pia litawekwa kwenye...
Its our Birthday session - More Than 50% OFF
Get -
.com
.net
.info
.biz
.co.in
.org.in
.eu
.ws
.co.uk
.ru
.nl
For only 20,000Tsh - Valid until April 4, 14.
Contact us for more information...
Habari ya leo mabibi na mabwana.Natafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga kakibanda kakujihifadhi mimi na makinda yangu.Nipo Dar es salaam,maeneo nayopendelea ikiwezekana ni uelekeo wa Tegeta kwenda...
Natafuta kiwanja
Preference : Barabara ya bagamoyo ( Sala Sala, Tegeta au Boko) , Changanyikeni au Makongo Juu.
Budget: Itategema na ukubwa wa kiwanja, eneo na land scape.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.