Husika na somo tajwa hapo juu, nauza kitabu cha A new certificate chemistry ( SIXTH EDITION) Holderness & Lambert kwa bei ya elfu thelathini(30,000) tu kama ulikuwa unakitafuta au utapenda...
Nauza Gari la Kazi Mitsubishi Canter Tones 3 1/2 liko Pafect nilikua nikitumia kwa ujenzi wa Nyumba yangu na hivi sasa nauza kwa kuendelea na ujenzi na gari uko Dar, kwa mwenye kutaka kununua no...
Nauza Gari la Kazi Mitsubishi Canter Tones 3 1/2 liko Pafect nilikua nikitumia kwa ujenzi wa Nyumba yangu na hivi sasa nauza kwa kuendelea na ujenzi na gari uko Dar, kwa mwenye kutaka kununua no...
Specification..ram kuanzia 2gb kuendelea..hard disk kuanzia 320 kuendelea..processor 2.2....weka dau lako unalouza kama huna hzo specification samahan kaa kimya
Habari za asubui wana janvi naomba msaada natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba viwili vya kulala,sebure jiko ikiwa na dining itakuwa poa zaidi but si lazima sana, bei asizidi 200,000 kwa mwezi...
salama wakuu,
Kuna mtu anahitaji mashine ya kutengeneza popcorn.
iwe size ya kati kwa matumizi ya kutengeneza popcorn za biashara.
Nipo dar yeyote mwenye kujua inakowwepatikana na bei zake...
TABLET AINA YA SWAG EXPERT 101 INAUZWA KWA TSH 180000,IPO IN GOOD CONDITION,ONLY 2 MONTHS USED INA SPECIFICATIONS ZIFUATAZO,UNAPATA NA CASE YAKE BUREE
Display Display Size 7Inch Screen...
Welcome for the new Martial art/karate in Africa , now is available at st.Lawrence University in Kampala Uganda. Kenpo classes are safe, fun and easy.
-Kenpo is the future of Martial arts,learn...
tunauza blog website special kwa ajili ya news,stories na mengineyo.website inaitwa walimwengu.com..kama unavoona jina la website linapendeza na kuvutia
website ina muonekano mzuri kwenye desktop...
KAMPUNI WA MARKETING (Wanayo husisha kwenye matangazo za barabarani) nitawapata wapi ?
Sasa hivi niliona matangazo kama za NMB Bodaboda na zingine, nani anazi fanya ?
Nauza cm aina ya blackberry curve 8530 ipokatika hali nzuri pia haina tatizo lolote bei 90000 cash bila mia kupungua aliyekuwa serious anicheki kwa no 0713943432 npo dar
NYUMBA ISIYOMALIZIWA AMBAYO IMEJENGWA KOZI NNE IKIWA NA VYUMBA VITATU VIKUBWA VYA KULALA, SEBULE KUBWA NA STORE.IPO VISIGA MADAFU KIBAHA KM 1 KUTOKA MOROGORO ROAD,ENEO LAKE ROBO HEKA LINA HATI YA...
Magari hayo hapo yako katika hali nzuri sana yanatembea. Yapo Morogoro mjini. Escudo Bei ni Tsh 6 milioni na hiyo Mark II Grande bei ni 5 milioni.
Escudo: 5 door,engine ni 4 cylinder, Automatic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.