Nahitaji kiwanja maeneo yafuatayo gongo la mboto,au pugu,au chanika au kitunda ,kiwe kimepimwa na panahuduma za maji umeme na barabara bajeti yangu ni mil.4 weka ukubwa wa kiwanja chako...
habari waungwana. kama kuna mwana JF yoyote anayeishi Mpanda(yupo huko kwa sasa); tafadhali naomba tuwasiliane hapa. Nina shida sana binafsi maeneo hayo. Ahsanteni
Wadau karibuni tena katika kijitangazo changu,wawekezaji wengi kwasasa wamechukua maeneo ya njia hii ya mikoa ya kusini kwa wingi, kujenga viwanda, kilimo na mashule kwa sababu ya maendeleo ya...
habari zenu wana jamii forum!!!
natafuta kiwanja katika jiji la mwanza, kiwe ndani ya wilaya mbili za mwanza, kati ya nyamagana na ilemela, kiwe kimepimwa upimaji shirikishi yani kiwe na namba...
pata maji safi delivered nyumbani kwako
gharama :tshs 15,000 per 1000lts
guarantee : Refund usiporidhika na ubora wa maji yetu
contacts :0782468639
competitive edge...
kwa wale waalimu
natengeneza photo entry za kidato cha nne kwa bei nafuu kabisa.
napunguza ukubwa wa picha kwa viwango vinavohitajika na necta pia.
kwa mawasiliano wasiliana nami kupitia...
Kipo umbali wa dakika tano hadi saba hivi kwa mguu kutoka barabara ya lami, kipo upande wa kushoto ukiwa unatoka mwenge kwenda tegeta, kwakweli ni kizuri sana tambarare na barabara nzuri hadi...
Bei Tsh 55m. Negotiable
. Good condition
. New tyre
. Comprehensive insurance for six month
. Six month from day it's imported
...... Running and parked in tegeta kibaoni
Contact ...0763988659
kama unaitaji wakala wa kukuwakilisha/kuwakilisha kampuni/shule/biashara kwa mkoa wa arusha jibu umepata wasiliana nami kwa email jw446433@gmail.com au namba 0689446433
Ninauza viwanja vyangu, vipo 2 chamazi, ukubwa wake ni ft 60 kwa ft 40 kwa kila kimoja, vimekatwa ktk mtaa, yaani eneo limepangiliwa. Haviko mbali kutoka barabara kuu, gari linafika hadi vilipo...
Wadau nina Samsung Galaxy S4 toka Korea,nimetumia miezi miwili tu,ina charger yake original na head phones zake.Inakaa na chaji kwa hadi siku 3 usipotumia internet.
Ninataka kuuiza au kubadilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.